FIFA:Algeria ni timu bora Afrika
Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Taifa Stars kukutana na timu bora Afrika
11 years ago
GPLNIGERIA TIMU YA KWANZA KUTINGA 16 BORA KUTOKA AFRIKA
9 years ago
Habarileo23 Nov
TFF kuichongea Algeria Fifa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa linafuatilia kwa kina madai yalitolewa na Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Boniface Mkwasa (pichani) kuhusu hujuma walizofanyiwa wakiwa nchini Algeria.
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Timu ya Algeria kuwasili kesho
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Kampuni ya ndege ya Fastjet kuisafirisha Timu ya Taifa Stars kwenda Algeria
Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu.
Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini Algeria kushiriki mchezo wa marudiano utakaofanyika Novemba 17 ...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Orodha ya wachezaji 10 wanaowania Tuzo ya mchezaji bora Afrika (wanaocheza Afrika)
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo hiyo anayecheza katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samata.
Siku moja baada ya Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) kutangaza majina ya wachezaji kumi watakaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika, hatimaye wametangaza majina ya wachezaji kumi (10) watakaowania tuzo ya mchezaji bora anayecheza Afrika.
Katika orodha hiyo kwa mara ya kwanza Tanzania tumefanikiwa kuingiza mchezaji mmoja, Mbwana Ally Samata anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe...
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Misri yarejea katika 50 bora Fifa
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Mchezaji bora Fifa duniani kutangazwa