Mchezaji bora Fifa duniani kutangazwa
Tuzo ya mchezaji Bora wa dunia wa Fifa kwa mwaka 2014 inatarajiwa kutangazwa leo ambapo tayari wachezaji watatu wamechujwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Mimi ndiye mchezaji bora wa soka duniani — Ronaldo
![cristiano-ronaldo-553153](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cristiano-ronaldo-553153-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amedai kuwa yeye ndiye mchezaji bora ulimwenguni.
Mchezaji huyo raia wa Ureno, 30, ambaye ni mshindi mara tatu wa mchezaji bora wa dunia na mfungaji bora wa Real Madrid ameiambia BBC.
“Sihitaji kusema, niko katika historia ya mpira, mimi ni legend. Namba zinasema kila kitu,” alisema.
Ronaldo ambaye alijiunga Real akitokea Manchester United mwaka 2009 kwa kitita cha auni milioni 80 amesema amefikia kiwango kiwango cha kushangaza kwa kipindi cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMySanah9PExRXt35pfrxiRFAXuTUXKsoblHHrXZgvfh56yGnYH*fQHv784qUFoFgqkKbFX*JsfcRC9pn2uI*qUyF/FIFAWorldCup2014Brazil.jpg?width=650)
FIFA YATAJA WACHEZAJI 10 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA KOMBE LA DUNIA 2014
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.
Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;
Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)
Lionel Messi (Argentina – Barcelona)
Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)
Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;
Carli Lloyd (Houston Dash -USA)
Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...
11 years ago
Bongo512 Jul
FIFA yataja wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia 2014 ‘World Cup Golden Ball Award’, Neymar na Messi waingia
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Haya ndiyo aliyoyasema Neymar kuhusu kuwepo kwake katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo Za mchezaji bora duniani (Ballon D’or)
Mchezaji wa klabu ya Barcelona, Neymar.
Na Rabi Hume
Staa wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Neymar Da Silva Santos maarufu kama Neymar mwishoni kwa wiki hii alizungumzia kuhusu kushiriki kwake katika tuzo za mchezaji bora duniani maarufu kama Ballon d’Or zinazotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Neymar amesema amekuwa akishiriki katika tuzo hizo lakini si kitu ambacho amekuwa akikipa nafasi katika maisha yake ya soka kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengine ambao...
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Mwanasoka bora kutangazwa leo na BBC