Taifa Stars kukutana na timu bora Afrika
Timu ya taifa ya Tanzania itakutana na timu iliyoorodheshwa bora zaidi Afrika kwenye raundi ijayo ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2018.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Timu ya Taifa ya wanawake Twiga stars ‘Kimeeleweka’ wapaa Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games)
Wachezaji wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirikia la Ndege la Tanzania (Air
Tanzania) jana jioni tayari kwa kuanza
safari ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwa ajili ya Mashindano ya Afrika
(All African Games).
Afisa Michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia mmoja wa wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi jana jioni tayari kwa safari ya kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games),...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u8m0F01QrxE/Vek3QhaHF4I/AAAAAAAH2RU/G-nx9VtGdNk/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya wanawake Twiga stars yaondoka kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u8m0F01QrxE/Vek3QhaHF4I/AAAAAAAH2RU/G-nx9VtGdNk/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-goCfa6KsvIs/Vek3Qilfi5I/AAAAAAAH2RM/SAuGOh-elQ0/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZdCF7IMZVXAPrSUqGzHnG63H*meeovL1ZMRKnUHLL1b1UvGKf-6lp02LZLpxdlNtSkyKB4V0vQ-FbSbaTemGP38/FIFA_logo.jpg?width=650)
TIMU 2O BORA ZA TAIFA DUNIANI
10 years ago
Michuzi28 Mar
MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
FIFA:Algeria ni timu bora Afrika
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s72-c/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
KOCHA MKWASA AITA 26 TIMU YA TAIFA STARS
![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s640/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.
Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...