TFF kuichongea Algeria Fifa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa linafuatilia kwa kina madai yalitolewa na Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Boniface Mkwasa (pichani) kuhusu hujuma walizofanyiwa wakiwa nchini Algeria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
FIFA:Algeria ni timu bora Afrika
Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika
9 years ago
TheCitizen16 Oct
TFF forms task force ahead of Algeria clash
The Tanzania Football Federation (TFF) has formed a seven-member committee whose task, among others, will be to lift the morale of Taifa Stars players in the forthcoming double-legged 2018 World Cup qualifier against Algeria.
9 years ago
TheCitizen11 Nov
TFF announces entrance fees as Algeria set to jet in Friday
Tanzania Football Federation (TFF) has announced the entrance fees for the Saturday’s World Cup qualifier match against Algeria.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Fifa kuipa fedha TFF
Fifa imeahidi kuipa fedha Shirikisho la soka Tanzania, TFF kwa ajili ya maandalizi ya kuwania kufuzu Kombe la dunia mwaka 2018
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Fifa yairudisha TFF Karume
Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limekerwa na matumizi mabaya ya fedha ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kulitaka kurejesha ofisi zake kwenye Uwanja wa Karume.
10 years ago
Mwananchi07 Jan
TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepata nguvu kwani linatarajia kupokea kitita cha Dola1. 3 milioni (Sh2.2 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) pamoja na fedha za kuiandaa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa ajili ya Kombe la Dunia 2018.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
FIFA KUBORESHA MAKAO MAKUU YA TFF
![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Hatua hiyo itaiwezesha TFF kuwa na mazingira bora ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi.
Vilevile kupitia programu zake mbalimbali ikiwemo ile ya Goal, FIFA imeahidi kushirikiana na TFF...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Yanga yaishitaki TFF kwa Fifa
Uongozi wa Yanga umesema leo utapeleka barua yake Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kuishtaki Kamati ya Utendaji ya TFF kwa kubadili kanuni za Ligi Kuu katikati ya msimu.
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Fedha za Fifa kujenga maduka TFF
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema mgawo wa fedha za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) utatumika kuendeleza soka pamoja na kujenga maduka na hoteli ndogo kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania