Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fedha za Fifa kujenga maduka TFF

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema mgawo wa fedha za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) utatumika kuendeleza soka pamoja na kujenga maduka na hoteli ndogo kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Fifa kuipa fedha TFF

Fifa imeahidi kuipa fedha Shirikisho la soka Tanzania, TFF kwa ajili ya maandalizi ya kuwania kufuzu Kombe la dunia mwaka 2018

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Fedha afanya ukaguzi wa matumizi wa mashine za EFD katika maduka mkoani Dodoma

SONY DSC

Mh.Waziri wa Fedha Saada M. Salum (MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.

Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum amefanya ukaguzi wa ghafla katika baadhi ya maduka Mkoani Dodoma ili kuona kama maelekezo ya Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD yanatekelezwa ipasavyo.

Katika ukaguzi huo ambao ulihusisha maduka ya kuuza thamani za majumbani,nguo na maduka ya kuuza bidhaa mchanganyiko (Min...

 

10 years ago

Mwananchi

Fifa yairudisha TFF Karume

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limekerwa na matumizi mabaya ya fedha ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kulitaka kurejesha ofisi zake kwenye Uwanja wa Karume.

 

9 years ago

Habarileo

TFF kuichongea Algeria Fifa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa linafuatilia kwa kina madai yalitolewa na Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Boniface Mkwasa (pichani) kuhusu hujuma walizofanyiwa wakiwa nchini Algeria.

 

10 years ago

Michuzi

MH.WAZIRI WA FEDHA SAADA M.SALUM AFANYA UKAGUZI WA MATUMIZI WA MASHINE ZA EFD KATIKA MADUKA MKOANI DODOMA.

1Mh.Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum(MB) akitoa maelekezo kwa Meneja wa TRA mkoani Dodoma (mwenye miwani) na wakala wa TRA kutoka Yono Action Mart kulifunga duka la Salome Furniture baada ya kukutwa akifanya biashara bila ya kutumia risiti za mashine ya EFD.2Mh.Waziri wa Fedha Mhe. Saada M.Salum(MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.3Waziri wa Fedha Mh. Saada M.Salum(MB) akiwa katika...

 

10 years ago

Michuzi

FIFA KUBORESHA MAKAO MAKUU YA TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu duniani (FIFA) limeahidi kuboresha makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) yaliyoko kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala ili yawe katika kiwango cha kisasa ikiwa ni pamoja na kuwa na vitendea kazi na miundombinu ikiwa ni pamoja na upanuzi wa ofisi.
Hatua hiyo itaiwezesha TFF kuwa na mazingira bora ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi.
Vilevile kupitia programu zake mbalimbali ikiwemo ile ya Goal, FIFA imeahidi kushirikiana na TFF...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani