FIFA KUBORESHA MAKAO MAKUU YA TFF
![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu duniani (FIFA) limeahidi kuboresha makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) yaliyoko kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala ili yawe katika kiwango cha kisasa ikiwa ni pamoja na kuwa na vitendea kazi na miundombinu ikiwa ni pamoja na upanuzi wa ofisi.
Hatua hiyo itaiwezesha TFF kuwa na mazingira bora ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi.
Vilevile kupitia programu zake mbalimbali ikiwemo ile ya Goal, FIFA imeahidi kushirikiana na TFF...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TDepYmmdNws/U37_hznbcnI/AAAAAAAFkmo/E0ekHlsg5Fo/s72-c/s.jpg)
RAIS WA TFF,JAMAL MALIZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TDepYmmdNws/U37_hznbcnI/AAAAAAAFkmo/E0ekHlsg5Fo/s1600/s.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3jRce-XJBdw/U37_i_9NzWI/AAAAAAAFkms/fwU5AMZJHno/s1600/bukobasports.jpg)
11 years ago
Michuzi24 May
ZIARA YA RAIS WA TFF MAKAO MAKUU YA FIFA JIJINI ZURICH, SWITZERLAND
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Fr4Q5Oxn9lRC0DfYLynsAfn2PJ2eysvv4MscROyI8qIQE2TSsNxY_MzAgcGeAXdTYjTufo8a62gqXng6Rck9YQYIRR84WhVKgoovZFHMgt67jB74Nr7-Cw5oFcBg7iz1sgbhB3t8kti8dk7o_ev8rRh44RTdkD7_mvyrnRF_6im9Z17Yhf0TG5Lir3HDNH8fTe_e7S2JJ_pkAuV6R4riW3gKN2g9dSNPsBm1nHxp2L6tMArmy3UiSdSCCtYLEenG-6QPwKrlUtzbwMjjwpJ5tnrP1aUsdInZ_Z2EPZCHbDn86DK-hyToy6SPsyhS39I0vpyHwK7hXSxB=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-A_KsQ5vLQv0%2FU378QVtOqII%2FAAAAAAAAWMU%2Fz6s9bd3yL7s%2Fs1600%2Fs.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/yFvP8zw23p-3yNg_GKkMW3XnFEi8P8cYsSUaZC7x6ocNm7-N-5lFRBDeWUdoEVmmdpCaZ9wATym_egROrW4ZUYRNoN20E7ypFbhjb-5g4YOT-X-Y4bEJkT4hzX9Qcqv9ZjPf0yjSqR6XAbhfQMwx4e_2LxPd-3UHAidCl4hLWixucig5NkbkvO5QL6tJtqonUFwVl2RyzYXou3Qd5vrT6LWXiBz-nPBYATP_1FXH2Bl4lkD29HfHr2oZ1QQZsEiHrfSZCwMLKbsnNeNs4RNlrvHF7UNNE8nQxMuhxo8Vnob8xYX7LUu9VDbYWsKxdTh5kSW11RHTpxTZ6UcF5xdExyYT_Cg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-p3QLFOlkRfA%2FU378QPIGwzI%2FAAAAAAAAWMQ%2F3HHQcjqP354%2Fs1600%2Fbukobasports.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0qh4c4EO7yqYLO*YjMidfUeoPxVSnMviuoJ0dZ-Q*sQeZP4LR2wA3ZNEMd4XB-RkfNXb3ulrjul8qK*lYTE2d9I/1MALINZI.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA USWISS
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Lowassa atikisa makao makuu ya CCM
![MTZ jmosi new.indd](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mtz13-300x267.jpg)
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, jana alitikisa mji wa Dodoma ambao ni Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Tukio hilo lilitokea wakati wa mkutano wa kampeni za urais za mgombea huyo ambapo maelfu ya wananchi wa Dodoma walihudhuria mkutano huo uliofanyika katika Viwanja vya Barafu mjini hapa.
Kabla ya mkutano...
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
RC alilia makao makuu yahamie Dodoma
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA.
WAUMINI na viongozi wa dini mkoani hapa, wameombwa kuomba dua maalum ili azma ya serikali ya kuhamishia makao makuu Dodoma itimie.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi, alipokuwa akitoa salamu za mkoa kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa wanawake (UWT).
Mkuu huyo wa mkoa alisema ni vyema sasa kukawa na dua maalumu la kuombea uhamisho wa makao makuu kuwa Dodoma, kwani umekuwa wa muda mrefu sasa.
Alisema azma hiyo ya...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Pakistan yavamia makao makuu ya Upinzani
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Dodoma,makao makuu yasiyo na ukuu
11 years ago
Habarileo22 Feb
Wataka mkurugenzi kuhamia makao makuu ya wilaya
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wamemwagiza Mkurugenzi wa halmashauri hiyo na wataalamu wake kuhakikisha anahamishia ofisi zake Matai ambako ni Makao Makuu ya wilaya mpya ifikapo Aprili mosi, mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi01 Feb
JKT Makao makuu mabingwa ngumi D’Salaam