Pakistan yavamia makao makuu ya Upinzani
Wanajeshi wa angani wa Pakistan wametekeleza msako na shambulio lisilo la kawaida katika makao makuu ya chama kikuu mjini Karachi MQM
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Upinzani wafanya maandamano Pakistan
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Dodoma,makao makuu yasiyo na ukuu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
FIFA KUBORESHA MAKAO MAKUU YA TFF
![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Hatua hiyo itaiwezesha TFF kuwa na mazingira bora ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi.
Vilevile kupitia programu zake mbalimbali ikiwemo ile ya Goal, FIFA imeahidi kushirikiana na TFF...
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
RC alilia makao makuu yahamie Dodoma
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA.
WAUMINI na viongozi wa dini mkoani hapa, wameombwa kuomba dua maalum ili azma ya serikali ya kuhamishia makao makuu Dodoma itimie.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi, alipokuwa akitoa salamu za mkoa kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa wanawake (UWT).
Mkuu huyo wa mkoa alisema ni vyema sasa kukawa na dua maalumu la kuombea uhamisho wa makao makuu kuwa Dodoma, kwani umekuwa wa muda mrefu sasa.
Alisema azma hiyo ya...
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Lowassa atikisa makao makuu ya CCM
![MTZ jmosi new.indd](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mtz13-300x267.jpg)
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, jana alitikisa mji wa Dodoma ambao ni Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Tukio hilo lilitokea wakati wa mkutano wa kampeni za urais za mgombea huyo ambapo maelfu ya wananchi wa Dodoma walihudhuria mkutano huo uliofanyika katika Viwanja vya Barafu mjini hapa.
Kabla ya mkutano...
11 years ago
Mwananchi01 Feb
JKT Makao makuu mabingwa ngumi D’Salaam
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FLRhqMgc44c/U6Kv3raXufI/AAAAAAAFroE/tGvueiUYwO4/s72-c/unnamed+(4).jpg)
JK apokea ripoti ya Uendelezaji Makao Makuu Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-FLRhqMgc44c/U6Kv3raXufI/AAAAAAAFroE/tGvueiUYwO4/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Habarileo03 Feb
Serikali yahimizwa kuhamishia makao makuu Dodoma
SERIKALI imesisitiza agizo lake la kusitisha ujenzi wa ofisi za wizara na taasisi zake katika jiji la Dar es Salaam badala yake uelekezwe mjini Dodoma, ikiwa ni hatua ya kuhamishia makao makuu mjini hapa.
11 years ago
Habarileo22 Feb
Wataka mkurugenzi kuhamia makao makuu ya wilaya
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wamemwagiza Mkurugenzi wa halmashauri hiyo na wataalamu wake kuhakikisha anahamishia ofisi zake Matai ambako ni Makao Makuu ya wilaya mpya ifikapo Aprili mosi, mwaka huu.