Upinzani wafanya maandamano Pakistan
Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji wanaoelekea katika makao rasmi ya waziri mkuu Nawaz Sharrif.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Pakistan yavamia makao makuu ya Upinzani
Wanajeshi wa angani wa Pakistan wametekeleza msako na shambulio lisilo la kawaida katika makao makuu ya chama kikuu mjini Karachi MQM
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Upinzani waitisha maandamano DRC
Vyama kadhaa vya upinzani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo vimeitisha maandamano katika mji mkuu wa taifa hilo Kinsasha dhidi ya kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais uliotarajiwa mwezi Novemba mwaka 2016.
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Wanaharakati wafanya maandamano Burundi
Wanaharakati wa upinzani nchini Burundi wameingia mitaani kwa siku ya pili kupinga hatua ya rais wa taifa hilo kuwania muhula wa 3
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Ebola:Raia wa Liberia wafanya maandamano
Polisi wa kukabiliana na ghasia nchini Liberia wamevunja maandamano dhidi ya vile serikali.
10 years ago
GPLWAISLAMU WA MADHEHEBU YA SHIA WAFANYA MAANDAMANO LEO
Imam wa Masjidi Ghadir, Hemed Jalala, akihutubia waumini (hawako pichani)
Baadhi ya waumini wakisikiliza jambo. Sehemu ya bango la maadhimisho hayo.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5M69OyPGSo2Lp1Hh*H-*PHYHlS*aaM8itAQznJOHLW3rnFMJVNG*3kO0qcpHWdpPHnBJXFvTftLqZy8QaBxEg2z/SA.jpg?width=650)
AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI
Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
BBCSwahili13 May
Abiria 43 wauawa Pakistan
Watu waliokuwa kwenye pikipiki wawapiga risasi abiria 43 waliokuwa njiani kwenda kuabudu huko Pakistan
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Pakistan:Wanamgambo kifungoni
Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania