Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAISLAMU WA MADHEHEBU YA SHIA WAFANYA MAANDAMANO LEO

Imam wa Masjidi Ghadir, Hemed Jalala, akihutubia waumini (hawako pichani)
Baadhi ya waumini wakisikiliza jambo. Sehemu ya bango la maadhimisho hayo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAISLAMU DAR WAFANYA MATEMBEZI KUMUENZI MJUKUU WA MTUME

Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa katika matembezi ya amani. Baadhi ya mabango yakiwa na ujumbe…

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani wafanya maandamano Pakistan

Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji wanaoelekea katika makao rasmi ya waziri mkuu Nawaz Sharrif.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati wafanya maandamano Burundi

Wanaharakati wa upinzani nchini Burundi wameingia mitaani kwa siku ya pili kupinga hatua ya rais wa taifa hilo kuwania muhula wa 3

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Raia wa Liberia wafanya maandamano

Polisi wa kukabiliana na ghasia nchini Liberia wamevunja maandamano dhidi ya vile serikali.

 

10 years ago

GPL

AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI

Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Waislamu kusherehekea Maulid leo

 Waumini mbalimbali wa dini ya Kiislamu nchini, wanaungana na wenzao duniani kote leo katika mapumziko ya kuadhimisha Sikukuu ya Maulid ikiwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) miaka 1345 iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Waislamu washerehekea Sikukuu ya Eid el Fitr leo

>Waislamu  nchini leo wanajumuika na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitr baada ya jana kumaliza mfungo wa mwezi  mtukufu wa Ramadhani.

 

10 years ago

Mtanzania

Maandamano makubwa Burundi leo

Pierre-NkurunzizaNa Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAPINZANI wanaompinga Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, wametangaza kufanya maandamano makubwa ya kupinga hatua ya kiongozi huyo kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Pamoja na hali hiyo, Rais Nkurunziza, jana alijitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la kumpindua lishindwe na kueleza tishio la nchi yake kushambuliwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shabaab cha Somalia.
Wakati akiyasema hayo, Rais Nkurunziza hakutoa kauli yoyote kuhusiana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Maandamano makubwa Siku ya Wanawake leo

Siku ya Kimataifa ya Wanawake, inaadhimishwa kitaifa mkoani Morogoro leo, wakati mjini Dar es Salaam, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete atapokea maandamano ya wanawake kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani