Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano makubwa Burundi leo

Pierre-NkurunzizaNa Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAPINZANI wanaompinga Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, wametangaza kufanya maandamano makubwa ya kupinga hatua ya kiongozi huyo kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Pamoja na hali hiyo, Rais Nkurunziza, jana alijitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la kumpindua lishindwe na kueleza tishio la nchi yake kushambuliwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shabaab cha Somalia.
Wakati akiyasema hayo, Rais Nkurunziza hakutoa kauli yoyote kuhusiana na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maandamano makubwa Siku ya Wanawake leo

Siku ya Kimataifa ya Wanawake, inaadhimishwa kitaifa mkoani Morogoro leo, wakati mjini Dar es Salaam, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete atapokea maandamano ya wanawake kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa kufanyika Mexico

Wananchi wa Mexico wamejiandaa kufanya maandamano makubwa kupinga kupotea kwa wanafunzi zaidi ya arobaini

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa yafanyika Ujerumani

Maandamano makubwa yamefanyika nchini Ujerumani kwa wanaopinga na kuunga mkono uislamu na wahamiaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa yaanza Hong kong

Maelfu ya wanafunzi wameanza mgomo kupinga kanuni za uchaguzi wa kiongozi wa Hong Kong

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani

Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano

 

5 years ago

CCM Blog

MAANDAMANO MAKUBWA KUFUATIA JINAI ZA POLISI WA MAREKANI DHIDI YA WAMAREKANI WEUSI

Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusiUbaguzi wa kijinsia na ubaguzi wa rangi hususan dhidi ya watu weusi daima ni mambo ambayo yamekuwa yakilaaniwa katika jamii ya Marekani.Pamoja na hayo suala ambalo katika miaka ya hivi karibuni limekuwa likiakisiwa zaidi, ni ukatili usio na ukomo wala mpaka wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika jambo ambalo limekuwa likitia huzuni kila siku ndani ya nchi hiyo. Katika malalamiko makubwa kufuatia kuuawa mikononi mwa polisi mzungu, Mmarekani mmoja mweusi asiye na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yachacha Burundi

Maandamano yanaendelea kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yapamba moto Burundi

Waandamanaji nchini Burundi wameingia mitaani hasira baada ya Rais wa taifa hilo kuamua kugombea nafasi hiyo tena kwa muhula wa 3

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandalizi wa maandamano waonywa Burundi

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameonya kuwaadhibu vikali wote wanaopanga maandamano ya raia dhidi yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani