Waandalizi wa maandamano waonywa Burundi
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameonya kuwaadhibu vikali wote wanaopanga maandamano ya raia dhidi yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Maandamano yachacha Burundi
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Maandamano yapamba moto Burundi
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi
10 years ago
Mtanzania18 May
Maandamano makubwa Burundi leo
Na Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAPINZANI wanaompinga Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, wametangaza kufanya maandamano makubwa ya kupinga hatua ya kiongozi huyo kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Pamoja na hali hiyo, Rais Nkurunziza, jana alijitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la kumpindua lishindwe na kueleza tishio la nchi yake kushambuliwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shabaab cha Somalia.
Wakati akiyasema hayo, Rais Nkurunziza hakutoa kauli yoyote kuhusiana na...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Wanaharakati wafanya maandamano Burundi
10 years ago
BBCSwahili04 May
Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504132657_burundi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s72-c/44.jpg)
WANNE WAFARIKI KATIKA MAANDAMANO BURUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s640/44.jpg)
Watu wanne wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano ya kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania Urais kwa Mhula wa tatu.Mamia ya watu wamejitokeza kwenye maandamano hayo huku baadhi wakichoma moto baadhi ya vitu katika nchi hiyo.Siku ya jumanne Mahakama ya Katiba ilikubali kuwa Rais Nkurunziza anaweza kugombea urais ambapo ilisema ni halali yeye kuwania tena urais kwa kipindi kingine cha miaka mitano.Katika hotuba yake...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Mmoja afa katika maandamano Burundi