Maandamano yachacha Burundi
Maandamano yanaendelea kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kuwania muhula wa tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Maandamano ya wanafunzi yachacha Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi
10 years ago
Mtanzania18 May
Maandamano makubwa Burundi leo
Na Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAPINZANI wanaompinga Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, wametangaza kufanya maandamano makubwa ya kupinga hatua ya kiongozi huyo kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Pamoja na hali hiyo, Rais Nkurunziza, jana alijitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la kumpindua lishindwe na kueleza tishio la nchi yake kushambuliwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shabaab cha Somalia.
Wakati akiyasema hayo, Rais Nkurunziza hakutoa kauli yoyote kuhusiana na...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Wanaharakati wafanya maandamano Burundi
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Maandamano yapamba moto Burundi
10 years ago
BBCSwahili01 May
Waandalizi wa maandamano waonywa Burundi
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Maandamano yazuka dhidi ya rais Burundi
10 years ago
BBCSwahili04 May
Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504132657_burundi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC