Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano yazuka dhidi ya rais Burundi

Kumezuka ghasia katika mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maafisa wa polisi na waandamanaji wanaoishtumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka Palestina

Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka nje ya bunge- Ukraine

Afisa mmoja auawa na wengine kujeruhiwa Ukraine baada ya wabunge kuipa eneo linalothibitiwa na waasi mamlaka ya kijitawala

 

10 years ago

Mwananchi

Maandamano ya kupinga BVR yazuka Arusha

Polisi mjini hapa wameyasambaratisha maandamano ya watu wasiofahamika waliokuwa na mabango ya kutaka muda wa uandikishwaji wa wapigakura kuongezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamano

Rais Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogoro wa kisiasa nchini mwake

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais

Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yachacha Burundi

Maandamano yanaendelea kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano dhidi ya shambulizi kufanyika

Zaidi ya watu milioni moja wanatarajiwa kushiriki kwenye matembezi katika mji mkuu wa ufaransa hii leo kupinga mauaji ya watu 17.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yapamba moto Burundi

Waandamanaji nchini Burundi wameingia mitaani hasira baada ya Rais wa taifa hilo kuamua kugombea nafasi hiyo tena kwa muhula wa 3

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi

Jeshi la Burundi limetawanywa nchini humo kujaribu kukabiliana na wale wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwania muhula wa tatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani