Maandamano yazuka dhidi ya rais Burundi
Kumezuka ghasia katika mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maafisa wa polisi na waandamanaji wanaoishtumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Maandamano yazuka Palestina
Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio.
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Maandamano yazuka nje ya bunge- Ukraine
Afisa mmoja auawa na wengine kujeruhiwa Ukraine baada ya wabunge kuipa eneo linalothibitiwa na waasi mamlaka ya kijitawala
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Maandamano ya kupinga BVR yazuka Arusha
Polisi mjini hapa wameyasambaratisha maandamano ya watu wasiofahamika waliokuwa na mabango ya kutaka muda wa uandikishwaji wa wapigakura kuongezwa.
10 years ago
BBCSwahili21 May
Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamano
Rais Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogoro wa kisiasa nchini mwake
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais
Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Maandamano yachacha Burundi
Maandamano yanaendelea kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kuwania muhula wa tatu.
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Maandamano dhidi ya shambulizi kufanyika
Zaidi ya watu milioni moja wanatarajiwa kushiriki kwenye matembezi katika mji mkuu wa ufaransa hii leo kupinga mauaji ya watu 17.
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Maandamano yapamba moto Burundi
Waandamanaji nchini Burundi wameingia mitaani hasira baada ya Rais wa taifa hilo kuamua kugombea nafasi hiyo tena kwa muhula wa 3
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi
Jeshi la Burundi limetawanywa nchini humo kujaribu kukabiliana na wale wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwania muhula wa tatu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania