Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano yazuka nje ya bunge- Ukraine

Afisa mmoja auawa na wengine kujeruhiwa Ukraine baada ya wabunge kuipa eneo linalothibitiwa na waasi mamlaka ya kijitawala

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka Palestina

Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio.

 

10 years ago

Mwananchi

Maandamano ya kupinga BVR yazuka Arusha

Polisi mjini hapa wameyasambaratisha maandamano ya watu wasiofahamika waliokuwa na mabango ya kutaka muda wa uandikishwaji wa wapigakura kuongezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka dhidi ya rais Burundi

Kumezuka ghasia katika mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maafisa wa polisi na waandamanaji wanaoishtumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano kadha yafanywa Ukraine

Maandamano yamefanywa katika maeneo kadha ya Ukraine na yamepita salama isipokuwa katika ras ya Crimea

 

10 years ago

Dewji Blog

Yaliyojiri Bunge Maalum la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge!

PIX 1

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

PIX 2

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Yahya Kassim Issa akiomba mwongozo leo Bungeni kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kuhusu kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman kuja kupiga kura na kukataa baadhi ya Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa wakati...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Ukraine lamtimua Yanukovych

Wabunge wa Ukraine wataka rais aondoke na wataja tarehe ya uchaguzi mpya

 

9 years ago

Mwananchi

Mikutano, maandamano kupisha Bunge Dodoma

Serikali mkoani Dodoma imesema amri ya kuzuia mikutano ya kisiasa na maandamano itaendelea wakati wa vikao vya Bunge la Kumi na Moja, katika hatua inayoonyesha kutaka kudhibiti chombo hicho kufanyiwa vurugu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la US lataka Ukraine ipewe Silaha

Wakuu wa bunge la wawakilishi Marekani wamemwandikia barua Rais Obama wakimtaka kutoa silaha kwa Ukraine ili kupambana na waasi

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Ukraine kujadili Serikali mpya

Bunge la Ukraine linatarajia kujadili kuhusu upatikanaji wa Serikali ya mpya nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani