Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la Ukraine kujadili Serikali mpya

Bunge la Ukraine linatarajia kujadili kuhusu upatikanaji wa Serikali ya mpya nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bunge, serikali kujadili BVR

Mwenyekiti wa Bunge, Mussa ZunguBUNGE limeingilia kati mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) chini ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa kuamua kujadili kile kilichoelezwa kwamba tume imekiuka makubaliano kwa kuanza mchakato bila kushirikisha vyama vya siasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la Iraq laidhinisha serikali mpya

Bunge la Iraq limeidhinisha serikali mpya itakayoshirikisha makundi muhimu nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Ukraine lamtimua Yanukovych

Wabunge wa Ukraine wataka rais aondoke na wataja tarehe ya uchaguzi mpya

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka nje ya bunge- Ukraine

Afisa mmoja auawa na wengine kujeruhiwa Ukraine baada ya wabunge kuipa eneo linalothibitiwa na waasi mamlaka ya kijitawala

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la US lataka Ukraine ipewe Silaha

Wakuu wa bunge la wawakilishi Marekani wamemwandikia barua Rais Obama wakimtaka kutoa silaha kwa Ukraine ili kupambana na waasi

 

5 years ago

CCM Blog

BUNGE LAENDELEA KUJADILI TAARIFA YA LAAC

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Bunge la Bajeti  ,mkutano wa 19 kikao cha 38 limeendelea kujadili hoja ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali za Mitaa[LAAC] kuhusu ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) huku serikali ikishauriwa kuanzisha chuo cha Wizi ili kukabiliana na ubadhilifu wa mali za umma.
Wakitoa michango ya maoni  mbalimbali  leo Mei,28,2020 juu ya Ripoti ya CAG iliyowasilishwa bungeni jijini Dodoma na kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge linapoteza muda kujadili ‘ndiyo’

“UKISEMA, ‘Ndiyo’, basi, iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo  hutoka kwa yule Mwovu.” (Mathayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Ukraine kuapishwa

Rais Poroshenko aliyekutana kwa mara ya kwanza na Putin mnamo Alhamisi amesema kuwa mazungumzo mengine na Urusi yatafanyika Jumapili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani