Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge, serikali kujadili BVR

Mwenyekiti wa Bunge, Mussa ZunguBUNGE limeingilia kati mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) chini ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa kuamua kujadili kile kilichoelezwa kwamba tume imekiuka makubaliano kwa kuanza mchakato bila kushirikisha vyama vya siasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Ukraine kujadili Serikali mpya

Bunge la Ukraine linatarajia kujadili kuhusu upatikanaji wa Serikali ya mpya nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge linapoteza muda kujadili ‘ndiyo’

“UKISEMA, ‘Ndiyo’, basi, iwe ‘Ndiyo’; ukisema, ‘Siyo’, basi iwe kweli ‘Siyo’. Chochote kinachozidi hayo  hutoka kwa yule Mwovu.” (Mathayo 5:37). Haya ni maneno ya Yesu Kristu wa Nazareti wakati akiwafundisha...

 

5 years ago

CCM Blog

BUNGE LAENDELEA KUJADILI TAARIFA YA LAAC

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Bunge la Bajeti  ,mkutano wa 19 kikao cha 38 limeendelea kujadili hoja ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali za Mitaa[LAAC] kuhusu ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) huku serikali ikishauriwa kuanzisha chuo cha Wizi ili kukabiliana na ubadhilifu wa mali za umma.
Wakitoa michango ya maoni  mbalimbali  leo Mei,28,2020 juu ya Ripoti ya CAG iliyowasilishwa bungeni jijini Dodoma na kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge laongezwa muda kujadili VAT, ardhi

>Bunge limeongeza muda wa vikao kwa siku tatu zaidi ili kutoa nafasi kwa wabunge kujadili Muswada wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), ambao unalenga kuondoa misamaha ya kodi.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge la bajeti kuanza kujadili miswada saba

Bunge la Bajeti litaanza kujadili miswada saba kwa siku 10 kuanzia Juni 29 hadi Julai 8, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge kuongezwa kwa siku 10 kujadili miswada

Dodoma/Arusha. Bunge la Bajeti lililokuwa livunjwe Juni 27, mwaka huu litaongezwa siku 10 ili kutoa nafasi ya kujadiliwa kwa miswada takriban 10 kinyume na historia yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge kujadili Escrow kwa siku mbili Dodoma

 Ripoti ya sakata la ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow sasa itajadiliwa kwa siku mbili bungeni baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi ya Bunge kukubaliana kuongeza muda tofauti na ule wa awali ambao ulikuwa ni siku moja.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakiri teknolojia ya BVR ‘kuchemsha’

Serikali imekiri kuwapo kwa upungufu katika uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo wa Teknolojia ya (BVR) wakati wa majaribio na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inayoratibu zoezi hilo kulirudia maeneo yote litakapoanza rasmi mapema mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani