BUNGE LAENDELEA KUJADILI TAARIFA YA LAAC
![](https://1.bp.blogspot.com/-tU1YsYO4i0M/Xs_qXM6X8qI/AAAAAAAC6Pw/Pr2bo3Tv-UIpXOGLPkFq6ABfwaC7NmfZgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Bunge la Bajeti ,mkutano wa 19 kikao cha 38 limeendelea kujadili hoja ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali za Mitaa[LAAC] kuhusu ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) huku serikali ikishauriwa kuanzisha chuo cha Wizi ili kukabiliana na ubadhilifu wa mali za umma.
Wakitoa michango ya maoni mbalimbali leo Mei,28,2020 juu ya Ripoti ya CAG iliyowasilishwa bungeni jijini Dodoma na kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eFl_RS4_lU8/XntigJXhvKI/AAAAAAALlAU/pjfvwZySGMQJ4hbB1VAMr1zuK8hkkLWIwCLcBGAsYHQ/s72-c/fd3e62b3-b0c9-4982-a16d-57b3e53b4bea.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-eFl_RS4_lU8/XntigJXhvKI/AAAAAAALlAU/pjfvwZySGMQJ4hbB1VAMr1zuK8hkkLWIwCLcBGAsYHQ/s640/fd3e62b3-b0c9-4982-a16d-57b3e53b4bea.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/ef7cc33b-8a9e-4385-bc7d-c8b8f85ef709.jpg)
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe. Asha Abdalla Juma akizungumza...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YANYOOSHEA KIDOLE HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU
10 years ago
GPLKAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU
9 years ago
MichuziBUNGE LA VIJANA LAENDELEA BUNGENI DODOMA
Spika wa Bunge la Vijana kwa mwaka 2015...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sVuf27WRJV0/UySGclMJuBI/AAAAAAAFTp4/7uKR1VqwRfA/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Zoezi la kuapishwa wabunge wa bunge maalum la katiba mpya laendelea vyema mjini dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-sVuf27WRJV0/UySGclMJuBI/AAAAAAAFTp4/7uKR1VqwRfA/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VoA-ZX2uJ-Q/UySGcj9GzWI/AAAAAAAFTpo/8IO7zMEBxms/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B2GMg7I8QDE/UySGcuQn8vI/AAAAAAAFTps/mTLB8ZkfVLs/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qC1iEtENiDs/UySGdLwYZsI/AAAAAAAFTp0/MVm8Dktpcxo/s1600/unnamed+(18).jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YABAINI MAPUNGUFU MAKUBWA UJENZI WA CHUO CHA UALIMU CHA AYALABEE WILAYANI KARATU
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Bunge Maalum la Katiba laendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba
Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiingia ndani ya Bunge hilo leo 10 Septemba, 2014 kwa ajili ya kuendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 10 Septemba, 2014 limeendelea na kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali Bungeni mjini Dodoma.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja masuala ya migogoro ya ardhi inayowahusisha wafugaji na wakulima, mambo ya Uraia pacha, haki ya...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Bunge, serikali kujadili BVR
BUNGE limeingilia kati mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) chini ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa kuamua kujadili kile kilichoelezwa kwamba tume imekiuka makubaliano kwa kuanza mchakato bila kushirikisha vyama vya siasa.