Zoezi la kuapishwa wabunge wa bunge maalum la katiba mpya laendelea vyema mjini dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-sVuf27WRJV0/UySGclMJuBI/AAAAAAAFTp4/7uKR1VqwRfA/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mhe. Mchungaji Christopher Mtikila, akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya mjini Dodoma leo katika zoezi linaloendelea vyema .
Mhe. Emmanueli Makaidi akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya
Mhe Tundu Lisu akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya
Mhe Mkosamali akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya.
Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Dodoma
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV18 Nov
Zoezi la kuapishwa wabunge wateule laendelea
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea na zoezi la kuwaapisha wabunge wateule mbele ya Spika Job Ndugai.
Kiapo cha wabunge hao ni ishara ya kupokea na kuanza majukumu yao ya kuwawakilisha wananchi.
Hiki ni kikao cha pili cha Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Zoezi la kuapishwa wabunge wateule limeanza majira ya saa tatu asubuhi baada ya kuahirishwa jana.
Baadhi ya wabunge waliopata nafasi ya kuapishwa asubuhi ya leo wamekula kiapo cha utii na uaminifu...
10 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s72-c/unnamed%2B(81).jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4Ej0EIz0XRY/VCLSdKW1XpI/AAAAAAAGliE/3-IJgmE3Rw4/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hN6H87Qy01E/VCLSdWhKM_I/AAAAAAAGliA/Fam5CuSp1zw/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R9tQ636gFL0/VCLSeIVZgJI/AAAAAAAGliI/CV8v0SJbaWM/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Matukio mbalimbali Waziri Mkuu Pinda kutoka Bunge mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Wajumbe wa...
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Yaliyojiri Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, William Lukuvi akichangia Bungeni Mjini Dodoma Aprili 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglican Tanzania, Donald Mtetemela akichangia Bungeni mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kuga Mzray akichangia Bungeni Mjini Dodoma.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samueli Sitta...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ICOF5r3qSqQ/UwZgfAThIZI/AAAAAAAFObM/RWGz3YP9n5E/s72-c/unnamed+(60).jpg)
Taswira la Bunge Maalum la Katiba liivyoanza mjini Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-ICOF5r3qSqQ/UwZgfAThIZI/AAAAAAAFObM/RWGz3YP9n5E/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EP0Nsx7-XQM/UwZgfuDKATI/AAAAAAAFObQ/3LlUMRmRnZg/s1600/unnamed+(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nm03dhGAWQo/UwZgfVtob0I/AAAAAAAFObU/Ru4UBmV-tv8/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TafPmMEI4xM/UwZgigfI16I/AAAAAAAFOb8/LrDPSGMX97M/s1600/unnamed+(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5vWjMYTPbE0/UwZgghqSh5I/AAAAAAAFObo/f2cUQHpNgl8/s1600/unnamed+(64).jpg)