Zoezi la kuapishwa wabunge wateule laendelea
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea na zoezi la kuwaapisha wabunge wateule mbele ya Spika Job Ndugai.
Kiapo cha wabunge hao ni ishara ya kupokea na kuanza majukumu yao ya kuwawakilisha wananchi.
Hiki ni kikao cha pili cha Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Zoezi la kuapishwa wabunge wateule limeanza majira ya saa tatu asubuhi baada ya kuahirishwa jana.
Baadhi ya wabunge waliopata nafasi ya kuapishwa asubuhi ya leo wamekula kiapo cha utii na uaminifu...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sVuf27WRJV0/UySGclMJuBI/AAAAAAAFTp4/7uKR1VqwRfA/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Zoezi la kuapishwa wabunge wa bunge maalum la katiba mpya laendelea vyema mjini dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-sVuf27WRJV0/UySGclMJuBI/AAAAAAAFTp4/7uKR1VqwRfA/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VoA-ZX2uJ-Q/UySGcj9GzWI/AAAAAAAFTpo/8IO7zMEBxms/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B2GMg7I8QDE/UySGcuQn8vI/AAAAAAAFTps/mTLB8ZkfVLs/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qC1iEtENiDs/UySGdLwYZsI/AAAAAAAFTp0/MVm8Dktpcxo/s1600/unnamed+(18).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7sfio-fZNTV2nZg3BLbJJfr5YysrXjbHx4o09ymZtH4-Ud5*xZZaeqs1JjzBttSsNZRP3bAwxgI-dMgJ4OyzzRu/1.jpg)
ZOEZI KUKAMATA BODABODA ZINAZOINGIA POSTA, KARIAKOO LAENDELEA
Askari akitaka kuona leseni ya bodaboda. Jamaa akijitayarisha kutoa leseni.…
10 years ago
MichuziZOEZI LA MAOMBI YA PASIPOTI KWA WATANZANIA NCHINI ITALI LAENDELEA
Maofisa wa Uhamiaji kutoka Dar Es Salaam na Zanzibar wameanza zoezi la kupokea maombi ya pasipoti kutoka kwa Watanzania waliopo nchini Italy. Maofisa hao wanategemewa kuelekea katika nchi za Turkey na Greece,kwa ajili ya zoezi hilo hilo.
Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...
Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/fRoQPqDJYow/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
ZOEZI LA UPIGAJI KURA LAENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI VISIWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lG1aR1G0H7I/ViyGUbay0CI/AAAAAAAICqo/WD_mLGd61w4/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhVDVzuLxO0/ViyGUsTXCLI/AAAAAAAICqw/26puexUap9E/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Mar
zoezi la upigaji kura kuchagua mbunge wa jimbo la kalenga laendelea kwa utulivu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0LEcGaOI6IsTVu9MaAfcNj2kmG4UnAeJkq2PrsUc*34PCtDoPxYv8Dn0Y8Dg37QxZHtU-2F-0pmfX642e4e0roe/ndegeyaujerumani4.jpg?width=650)
NDEGE YA UJERUMANI: ZOEZI LA UTAFUTAJI MIILI LAENDELEA, KINASA SAUTI CHAPATIKANA KIKIWA KIMEHARIBIKA
Baadhi ya mabaki ya ndege ya Ujerumani aina ya Airbus A320 baada ya ajali. Helkopta ikielekea eneo la tukio kuendelea na uchunguzi. Kinasa sauti cha ndege hiyo kilichopatikana kikiwa kimeharibika. ZOEZI la utafutaji miili ya watu 150 waliopoteza maisha…
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWASAJILI WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ,WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA
9 years ago
VijimamboZOEZI LA KUGAWA CHAKULA LAENDELEA KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania