ZOEZI LA MAOMBI YA PASIPOTI KWA WATANZANIA NCHINI ITALI LAENDELEA
Maofisa wa Uhamiaji kutoka Dar Es Salaam na Zanzibar wameanza zoezi la kupokea maombi ya pasipoti kutoka kwa Watanzania waliopo nchini Italy. Maofisa hao wanategemewa kuelekea katika nchi za Turkey na Greece,kwa ajili ya zoezi hilo hilo.
Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
ZOEZI LA UPIGAJI KURA LAENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI VISIWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lG1aR1G0H7I/ViyGUbay0CI/AAAAAAAICqo/WD_mLGd61w4/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhVDVzuLxO0/ViyGUsTXCLI/AAAAAAAICqw/26puexUap9E/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Mar
zoezi la upigaji kura kuchagua mbunge wa jimbo la kalenga laendelea kwa utulivu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i4q7Yx4ri9Y/VCIyvqLYWII/AAAAAAAGlak/YpeAH62p-kc/s72-c/tangazo.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Cv9ALeyP8Qk/VBnp-x9Z-oI/AAAAAAAAA14/G_mQmF5rNKw/s72-c/tangazo.bmp)
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
9 years ago
StarTV18 Nov
Zoezi la kuapishwa wabunge wateule laendelea
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea na zoezi la kuwaapisha wabunge wateule mbele ya Spika Job Ndugai.
Kiapo cha wabunge hao ni ishara ya kupokea na kuanza majukumu yao ya kuwawakilisha wananchi.
Hiki ni kikao cha pili cha Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Zoezi la kuapishwa wabunge wateule limeanza majira ya saa tatu asubuhi baada ya kuahirishwa jana.
Baadhi ya wabunge waliopata nafasi ya kuapishwa asubuhi ya leo wamekula kiapo cha utii na uaminifu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7sfio-fZNTV2nZg3BLbJJfr5YysrXjbHx4o09ymZtH4-Ud5*xZZaeqs1JjzBttSsNZRP3bAwxgI-dMgJ4OyzzRu/1.jpg)
ZOEZI KUKAMATA BODABODA ZINAZOINGIA POSTA, KARIAKOO LAENDELEA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-e3GdQMf8WAU/VNPZXBe_WeI/AAAAAAAHCJs/JfsPuQukKHY/s72-c/download.jpg)
makala ya sheria: JE UNAHITAJI PASIPOTI, HII NI NAMNA NYEPESI YA KUPATA PASIPOTI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-e3GdQMf8WAU/VNPZXBe_WeI/AAAAAAAHCJs/JfsPuQukKHY/s1600/download.jpg)
Lakini kabla ya taarifa mtu huendelea kufikiria jambo hilo kwa ugumu. Katika kipindi kama hiki kuwa na kitu kama pasipoti si jambo la anasa au ufahari tena isipokuwa ni jambo ambalo limeishaingia katika matumizi ya kawaida ya kila siku ya walio wengi. Hii ni...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/fRoQPqDJYow/default.jpg)