TANGAZO LA ZOEZI LA PASIPOTI KATIKA MIJI YA WICHITA NA KANSAS CITY.
![](http://2.bp.blogspot.com/-i4q7Yx4ri9Y/VCIyvqLYWII/AAAAAAAGlak/YpeAH62p-kc/s72-c/tangazo.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Cv9ALeyP8Qk/VBnp-x9Z-oI/AAAAAAAAA14/G_mQmF5rNKw/s72-c/tangazo.bmp)
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA SHINA JIPYA LA CCM NDANI YA JIJI LA VIONGOZI WICHITA, KANSAS
10 years ago
MichuziZOEZI LA MAOMBI YA PASIPOTI KWA WATANZANIA NCHINI ITALI LAENDELEA
Maofisa wa Uhamiaji kutoka Dar Es Salaam na Zanzibar wameanza zoezi la kupokea maombi ya pasipoti kutoka kwa Watanzania waliopo nchini Italy. Maofisa hao wanategemewa kuelekea katika nchi za Turkey na Greece,kwa ajili ya zoezi hilo hilo.
Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...
Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-e3GdQMf8WAU/VNPZXBe_WeI/AAAAAAAHCJs/JfsPuQukKHY/s72-c/download.jpg)
makala ya sheria: JE UNAHITAJI PASIPOTI, HII NI NAMNA NYEPESI YA KUPATA PASIPOTI.
Na Bashir Yakub
Yapo mambo ambayo huwaumiza watu vIchwa yumkini yakiwa ni mambo madogo na ya kawaida. Tatizo mara nyingi huwa ni taarifa. Taarifa zikimfikia mtu ndipo huhisi jambo ambalo alikuwa halijui kuwa ni jepesi.
Lakini kabla ya taarifa mtu huendelea kufikiria jambo hilo kwa ugumu. Katika kipindi kama hiki kuwa na kitu kama pasipoti si jambo la anasa au ufahari tena isipokuwa ni jambo ambalo limeishaingia katika matumizi ya kawaida ya kila siku ya walio wengi. Hii ni...
![](http://2.bp.blogspot.com/-e3GdQMf8WAU/VNPZXBe_WeI/AAAAAAAHCJs/JfsPuQukKHY/s1600/download.jpg)
Lakini kabla ya taarifa mtu huendelea kufikiria jambo hilo kwa ugumu. Katika kipindi kama hiki kuwa na kitu kama pasipoti si jambo la anasa au ufahari tena isipokuwa ni jambo ambalo limeishaingia katika matumizi ya kawaida ya kila siku ya walio wengi. Hii ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-en_FYe4VRAk/VYgRZoxciCI/AAAAAAADtQ4/Y_hH72pdM1o/s72-c/5f295e5d2ca51dada1202712aa6a81c7.jpg)
MSIBA KANSAS CITY USA NA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-en_FYe4VRAk/VYgRZoxciCI/AAAAAAADtQ4/Y_hH72pdM1o/s320/5f295e5d2ca51dada1202712aa6a81c7.jpg)
HISTORIA FUPI YA MAREHEMU
Emmanuel Elisa Nyiti (pichani) alizaliwa March 21, mwaka 1973 mkoani Dar es Salaam Tanzania kabla ya mauti kumfikia Juni 20 mwaka 2015.
Elimu ya awali aliipata katika shule ya msingi Kibaha na baadaye akajiunga na shule ya sekondari Kibaha kutoka mwaka 1987 mpaka 1990.
Baada ya...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L3RuoOMgstw/VePGI_IX6WI/AAAAAAAATa8/YgNI1qXnAzU/s72-c/YAMOTO%2BKANSAS%2BFiinal.jpg)
9 years ago
Vijimambo10 Oct
HABARI NJEMA KWA WAKAZI WA DALLAS, OMAHA NA KANSAS CITY
11 years ago
MichuziDIAMOND PLATNUMZ AFANYA MAKAMUZI YA NGUVU KANSAS CITY, MISSOURI NCHINI MAREKANI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania