ZOEZI LA UPIGAJI KURA LAENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI VISIWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
Baadhi ya Wananchi wakihakiki majina yao tayari kwa kupiga kura ya kuwachangua Marais, Wabunge, wawakilishi na Madiwani hapo katika kituo cha kupiga kura skuli ya Sekondari Kitope Wilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wananchi wakihakiki majina yao tayari kwa kupiga kura ya kuwachangua Marais, Wabunge, wawakilishi na Madiwani hapo katika kituo cha kupiga kura skuli ya Sekondari Kitope Wilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Baadhi ya Wananchi wakiwa katika foleni kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Mar
zoezi la upigaji kura kuchagua mbunge wa jimbo la kalenga laendelea kwa utulivu
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
ZOEZI ZA UPIGAJI KURA LAANZA NA KUENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s320/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-he795LIewXY/Vix2HuwTmCI/AAAAAAAICms/K4LBUBSDM1c/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FhaLxaqwIec/Vix2RlhasFI/AAAAAAAICnA/6VVQk4ZVofU/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uvvglijajvw/Vix2RlWdd9I/AAAAAAAICm8/NELVF55KrBw/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U9-s16xF-WE/Vix_wS7iCOI/AAAAAAAICog/Lhbi_4OQ7Os/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rS5WUx5n5UM/Vix_wWqdmYI/AAAAAAAICok/UJdYYpwK5yc/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Picha kwa hisani ya blogger Seria
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Zoezi la upigaji kura laenda kwa utulivu Dar
9 years ago
Habarileo25 Oct
Upigaji kura waendelea kwa amani na utulivu
WATANZANIA leo waliamka mapema na kuwahi katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wao watakaoliongoza taifa lao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Misururu mirefu imeonekana katika maeneo mengi ya nchi hususani katika jiji la Dar es Salaam, hali inayoonesha kuwa watu wajejawa na hamasa kubwa ya kuchagua kiongozi wao kama walivyokuwa wakijitokeza katika mikutano ya kampeni.
Watu wengi wamejitokeza katika vituo mapema kabisa leo alfajiri ambapo vituo vilifunguliwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fwvbyWJLDKI/UyVuwH81RfI/AAAAAAACckw/yrllVhyq2xo/s72-c/1.jpg)
UPIGAJI KURA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA WAENDELEA KWA UTULIVU MKUBWA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-fwvbyWJLDKI/UyVuwH81RfI/AAAAAAACckw/yrllVhyq2xo/s1600/1.jpg)
9 years ago
Habarileo26 Oct
Utulivu watawala upigaji kura Dar
LICHA ya kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza jana wakati wa upigaji kura kwenye maeneo tofauti ya majimbo matatu ya uchaguzi ya Dar es Salaam; Ukonga, Ubungo, Temeke na Segerea, uchaguzi kwenye maeneo hayo umeelezwa kufanyika kwa amani na utulivu huku usalama wa watu wengi waliojitokeza kupiga kura ukizingatiwa.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Umoja wa Ulaya wasifu utulivu wa upigaji kura
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
9 years ago
GPL25 Oct