Umoja wa Ulaya wasifu utulivu wa upigaji kura
Mwangalizi Mkuu wa ujumbe wa waangalizi wa Umoja wa Ulaya (EU), Judith Sargentini anasema kumekuwa na hali ya utulivu katika vituo 400 vilivyotembelewa na waangalizi wa EU nchi nzima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Oct
Utulivu watawala upigaji kura Dar
LICHA ya kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza jana wakati wa upigaji kura kwenye maeneo tofauti ya majimbo matatu ya uchaguzi ya Dar es Salaam; Ukonga, Ubungo, Temeke na Segerea, uchaguzi kwenye maeneo hayo umeelezwa kufanyika kwa amani na utulivu huku usalama wa watu wengi waliojitokeza kupiga kura ukizingatiwa.
9 years ago
Habarileo25 Oct
Upigaji kura waendelea kwa amani na utulivu
WATANZANIA leo waliamka mapema na kuwahi katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wao watakaoliongoza taifa lao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Misururu mirefu imeonekana katika maeneo mengi ya nchi hususani katika jiji la Dar es Salaam, hali inayoonesha kuwa watu wajejawa na hamasa kubwa ya kuchagua kiongozi wao kama walivyokuwa wakijitokeza katika mikutano ya kampeni.
Watu wengi wamejitokeza katika vituo mapema kabisa leo alfajiri ambapo vituo vilifunguliwa...
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Zoezi la upigaji kura laenda kwa utulivu Dar
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
ZOEZI LA UPIGAJI KURA LAENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI VISIWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lG1aR1G0H7I/ViyGUbay0CI/AAAAAAAICqo/WD_mLGd61w4/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhVDVzuLxO0/ViyGUsTXCLI/AAAAAAAICqw/26puexUap9E/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fwvbyWJLDKI/UyVuwH81RfI/AAAAAAACckw/yrllVhyq2xo/s72-c/1.jpg)
UPIGAJI KURA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA WAENDELEA KWA UTULIVU MKUBWA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-fwvbyWJLDKI/UyVuwH81RfI/AAAAAAACckw/yrllVhyq2xo/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Mar
zoezi la upigaji kura kuchagua mbunge wa jimbo la kalenga laendelea kwa utulivu
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
ZOEZI ZA UPIGAJI KURA LAANZA NA KUENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s320/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-he795LIewXY/Vix2HuwTmCI/AAAAAAAICms/K4LBUBSDM1c/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FhaLxaqwIec/Vix2RlhasFI/AAAAAAAICnA/6VVQk4ZVofU/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uvvglijajvw/Vix2RlWdd9I/AAAAAAAICm8/NELVF55KrBw/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U9-s16xF-WE/Vix_wS7iCOI/AAAAAAAICog/Lhbi_4OQ7Os/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rS5WUx5n5UM/Vix_wWqdmYI/AAAAAAAICok/UJdYYpwK5yc/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Picha kwa hisani ya blogger Seria
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO