Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,(LAAC) ikitembelea kukagua mradi wa umwagiliaji wa Skimu ya Mang'ora wilayani Karatu. Baadhi ya Mashamba ya Vitunguu katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YABAINI MAPUNGUFU MAKUBWA UJENZI WA CHUO CHA UALIMU CHA AYALABEE WILAYANI KARATU


Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu,Lazaro Titus akiongozana na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Bunge ya Hesabu za serikali za Mitaa kwenda kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo.Mwenyekiti akikagua jengo la Chuo cha Ualimu cha Ayalabee ambacho kinatajwa majengo yake kujengwa chini ya kiwango.Hili ndio jengo la Chuo cha Ualimu cha Ayalabee kama linavyoonekana sehemu ya Paa lake likiwa tayari limebinyea.Baadhi ya wananchi walipata fursa ya kutoa madukuduku yao kwa kamati juu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YANYOOSHEA KIDOLE HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Bunge Hesabu za serikali za Mitaa(LAAC) Azza Hamad akizungumza wakati wa kikao na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wakati kamati hiyo ilipotembelea halmashauri kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu Michael Hadu akijibu hoja mbele ya kamati hiyo.
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Hesabu za serikali za mitaa (LAAC) wakiwa katika eneo ilipojengwa shule ya sekondari Singland kukagua ujenzi wa vyumba vya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AZINDUA GHALA LA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MOMBO WILAYANI KOROGWE

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua ghala la skimu ya umwagiliaji ya Mombo, Machi 5, 2020. Wa tatu kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu.   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mchele daraja la kwanza wakati alipotembelea mashine ya kukoboa nafaka  ya  Skimu ya Umwagiliaji ya Mombo wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kiloba cha mchele...

 

5 years ago

Michuzi

kamati ya hesabu za serikali za mitaa yakoshwa na miradi ya maendeleo Makambako

Na Amiri kilagalila,Njombe

Kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa LAAC imeridhishwa na hali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe,na kuahidi kuongeza nguvu serikalini ili kusaidia ukamilishwaji wa ujenzi wa majengo ya makao makuu ya halmashauri hiyo.

Makamu mwenyekiti wa kamati ya LAAC Abdalah Chikota ambaye ni mbunge wa jimbo la Nanyamba amesema hali ya utekelezaji wa miradi katika halmashauri ya mji wa Makambako inaridhisha...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

RATIBA -KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) JANUARI 2015

KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC)

RASIMU YA RATIBA YA UKAGUZI WA MIRADI NA KUJADILI HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA SERIKALI KUU NA MASHIRIKA YA UMMA KUANZIA TAREHE 05 HADI 24 JANUARI 2015,

MKOA WA MOROGORO NA OFISI NDOGO YA BUNGE, DAR ES SALAAM

View this document on Scribd

 

 


 

11 years ago

Michuzi

Kamati ya ya Bunge ya Hesabu za Serikali walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia

Waheshimiwa Wabunge Kamati ya Hesabu za Serikali walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia wakiwa na Balozi Dr. Aziz P. Mlima na Maafisa wa Ubalozi leo. Waheshimiwa wapo Malaysia kwa shughuli za kikazi na mafunzo, wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa PAC ambaye pia ni Mbuneg wa Ludewa  Mhe Deo H. Filikunjombe

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Skimu za umwagiliaji kuondoa njaa Iringa

Bwawa la Mkungugu katika Tarafa ya Isimani linalotumika kwa umwagiliaji, uvuvi na shughuli nyingine za kijamii. Na Daniel Mbega, Iringa CHESCO Mlomo (46), mkazi wa Kijiji cha Mkungugu katika Tarafa ya Isimani wilayani Iringa, anaamini wimbi la njaa litapungua katika familia yake na hata za wakazi wengine wa kijiji hicho. Ukame ambao umelikumba eneo lote la Isimani kwa miaka zaidi ya 20 umesababisha mazao kushindwa kustawi vizuri hata wakati huu masika kutokana na mabadiliko ya tabia nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani