Skimu za umwagiliaji kuondoa njaa Iringa
Bwawa la Mkungugu katika Tarafa ya Isimani linalotumika kwa umwagiliaji, uvuvi na shughuli nyingine za kijamii. Na Daniel Mbega, Iringa CHESCO Mlomo (46), mkazi wa Kijiji cha Mkungugu katika Tarafa ya Isimani wilayani Iringa, anaamini wimbi la njaa litapungua katika familia yake na hata za wakazi wengine wa kijiji hicho. Ukame ambao umelikumba eneo lote la Isimani kwa miaka zaidi ya 20 umesababisha mazao kushindwa kustawi vizuri hata wakati huu masika kutokana na mabadiliko ya tabia nchi...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XBL5HQ5ADWc/Xr-BnXsuskI/AAAAAAALqbU/UzmigMSwel4Gx02dm-b_doY0kPDk4wBWwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_3316-768x512.jpg)
KATIBU MKUU KILIMO ARIDHISHWA NA UJENZI WA SKIMU UMWAGILIAJI YA MVUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XBL5HQ5ADWc/Xr-BnXsuskI/AAAAAAALqbU/UzmigMSwel4Gx02dm-b_doY0kPDk4wBWwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3316-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_3253-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akitoa maelekezo kuhusu ghala la kijiji cha Kigugu wilaya ya Mvomelo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye mradi huo.Katikati ni Eng.Amandus...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TPv-yhTk8kc/XmEFc_R7iqI/AAAAAAALhVE/iFusX5mZhK0lDVrceaya5DILN-BPT5wrgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
WAZIRI MKUU AZINDUA GHALA LA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MOMBO WILAYANI KOROGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-TPv-yhTk8kc/XmEFc_R7iqI/AAAAAAALhVE/iFusX5mZhK0lDVrceaya5DILN-BPT5wrgCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ULsvfmnx680/XmEFccxLUfI/AAAAAAALhVA/HAXKvRZe9KQDKdWM8taJZ9WC2vHFiPQOwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7pJdRHPljWs/XmEFc8CP6iI/AAAAAAALhVI/mWespOvU_gMnsN2ckLcGQ-IpcO4nV-uoQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TZonyqORavo/XsPRLL2DV9I/AAAAAAAAZQI/D2Z-v6WSWwIns6Yr8wNabAMB-DbKHmd5wCLcBGAsYHQ/s72-c/KM%2BKusaya________.jpg)
KATIBU MKUU KILIMO AWAAGIZA WAKANDARASI WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI KUMALIZA MIRADI HARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TZonyqORavo/XsPRLL2DV9I/AAAAAAAAZQI/D2Z-v6WSWwIns6Yr8wNabAMB-DbKHmd5wCLcBGAsYHQ/s640/KM%2BKusaya________.jpg)
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bwana...
10 years ago
GPLKAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AIAGIZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUANISIHA NA KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA ENEO LA UMWAGILIAJI NCHINI
9 years ago
StarTV28 Nov
Ofisi za Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa zagongana kuhusu baa la njaa isimani iringa
Siku chache baada ya Star Tv kuripoti taarifa ya baa la njaa linalotishia maisha ya watu karibu ya 70,000 wa tarafa ya Isimani mkoani Iringa, ofisi mbili za Serikali zimegongana juu ya jambo hilo.
Wakati Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa imekilaumu kitengo cha Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kutotoa ushirikiano wa kutosha hadi watu kufikia hatua ya kula matunda pori kama chakula chao kikuu, kitengo hicho kimekanusha madai hayo kwa maelezo kuwa kuna utaratibu wa kutoa chakula cha msaada na...
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Skimu ya Mpunga Kiroka yapata ugeni mkubwa
Msimamizi wa mradi wa FAO kijiji cha Kiroka mkoani Morogoro, Ajuaye Sigalla, akitoa muhtasari wa maendeleo ya mradi FAO unaotekelezwa na wanakikundi wa Umoja wa Wakulima Kiroka (UWAKI) mbele ya Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Filiberto Sebregondi walipofanya ziara ya kugagua miradi yao ya maendeleo mkoani Morogoro.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HGi2GKk4aew/VMj4q71nF3I/AAAAAAAG_60/vvTidS0UO4E/s72-c/Flag-Pins-Tanzania-European-Union.jpg)
Launch of the European Union Supported "Usafi Iringa-Iringa Sanitation" Project
![](http://3.bp.blogspot.com/-HGi2GKk4aew/VMj4q71nF3I/AAAAAAAG_60/vvTidS0UO4E/s1600/Flag-Pins-Tanzania-European-Union.jpg)
With funding from the European Union, ACRA-CCS Foundation, in partnership with Iringa Municipal Council, Iringa Urban Water and Sanitation Authority (IRUWASA), local (MAMADO, IDYDC) and international...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuReAt*SvSINcgBFSx*cxca6SI49EIsuP8qYwH69MCWOLujFKk6CmctPia3tv*iM9IL*k5iNXMmCOVIHBMqUmpTZC/001Iringa.jpg?width=650)
WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA