Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA‏

Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Salome Kalinga(wanne toka kushoto)mkazi wa Iringa,akipokea funguo wa pikipiki yake aliyojishindia katika promosheni hiyo toka kwa Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kusini Magharibi Bw.Benedict Kitogwa.Ili kujiunga na Promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda 15544. Meneja… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

19 WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM‏

Baadhi ya washindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam,wakibadilishana mawazo na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(aliesimama kulia)mara baada ya kuwakabidhi washindi hao bodaboda zao,Jumla ya Bodaboda(230)zimekabidhiwa kwa washindi wa promosheni hiyo nchi nzima na Milioni 142.Ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.
Mshindi wa Promosheni ya Timka na...

 

11 years ago

GPL

TANGA-SINGIDA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM‏

Meneja wa Vodacom Tanzania-Tanga Bw. Mussa Sultan(kushoto)akimkabidhi Pikipiki Agnes Kilango ambaye ni mmoja wa washindi wa mkoa huo katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.
Mshindi wa Pikipiki wa Mkoa wa Singida katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Bw.Juma Abdallah,akiwa kwenye pikipiki yake mara baada ya kukabiodhiwa rasmi na...

 

11 years ago

GPL

WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATIMKA NA BODABODA‏

Baadhi ya washindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwa wamesimama mbele ya pikipiki zao baada ya kukabidhiwa rasmi na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Bw. Matina Nkurlu (hayupo pichani). Promosheni hiyo imeisha rasmi na imebadilisha maisha ya Watanzania zaidi ya mia saba (700).
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Bw.Matina Nkurlu (kulia) akibadilishana mawazo na baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI

Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga katika kikao na baadhi ya vijana hao











KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.


CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.


Katika...

 

11 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATIMKA NA BODABODA

 Baadhi ya washindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam,wakiwa wamesimama mbele ya pikipiki zao baada ya kukabidhiwa rasmi na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(hayupo pichani)Promosheni hiyo imesha kwa kubadilisha maisha ya watanzania zaidi ya mia saba(700).  Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kulia)akibadilishana mawazo na baadhi ya washindi walijishindia pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda  wakati...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT.MAGUFULI

Fredy mgunda ambaye ni chief repoter wa radio nuru fm.shauri mkwawa a.k.a mama la mama na wafanyakazi wenzake wakifanya usafi.Wakizungumza wakati wakiwa wanafanya usafi katika eneo hilo wamesema kuwa wameamua kufanya usafi katika hospital hiyo kwa kuwa ndio hospitali inayohudumia wananchi wengi kuliko hospitali nyingine zilizopo mkoani hapa.Denis nyali ni mhariri wa habari wa radio hiyo amesema kuwa wameamua kufanya usafi kwa lengo la kuwaonyesha wananchi na wafanyakazi wa hospital hiyo kuwa...

 

11 years ago

GPL

WAARUSHA WATIMKA NA BODABODA ZAO‏

Mshindi wa Promosheni ya Timka na bodaboda wa Mkoa wa Arusha, Bi. Anna Ombela akikabidhiwa kadi ya pikipiki yake aliyojishindia katika Promosheni hiyo na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Kaskazini, Bi. Assumpta Malongo (kushoto) katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya stendi ya Nduruma hapo jana. Jumla ya washindi 13 wa kanda hiyo walikabidhiwa bodaboda zao. Meneja wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kaskazini, Bi....

 

10 years ago

Michuzi

Mkuu wa wilaya ya Mufindi amewataka wakazi wa mkoa wa Iringa kuwa walinzi namba moja dhidi ya wenyetabia ya kuharibu mazingira

Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi MBONI MHITA amewataka wakazi wa mkoa wa Iringa kuhakikisha wanakuwa walinzi namba moja dhidi ya watu wenyetabia ya kuharibu mazingira katika maeneo yao, kwani kwa kutofanya hivyo ni sawa na kujiuwa wenyewe.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya habari na mawasiliano ya Halmashauri ya wilaya ya Mufindi Imetanabasha kuwa, mkuu wa wilaya ameyasema hayo kwenye kilele cha siku ya mazingira duniani yaliyofanyika kimkoa katika kijiji cha Vikula Wilayani Mufindi...

 

10 years ago

GPL

WANAHABARI MKOA WA IRINGA WAKUTANA NA JESHI LA POLISI KATIKA KIKAO CHA MAHUSIANO MEMA‏

Baadhi ya wanahabari  mkoa  wa Iringa  wakiwa katika picha  ya pamoja na viongozi  wa  Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa mara baada ya  kumalizika  kikao  chao cha mahusiano mema na kutambulishana kati ya wanahabari na viongozi wapya wa  Jeshi  la Polisi. Waliokaa ni Kamanda wa Polisi Ramadhan Mungi wa tatu  kushoto akifuatiwa na mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari Mkoa wa Iringa (IPC)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani