Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MKUU AZINDUA GHALA LA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MOMBO WILAYANI KOROGWE

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua ghala la skimu ya umwagiliaji ya Mombo, Machi 5, 2020. Wa tatu kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu.   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mchele daraja la kwanza wakati alipotembelea mashine ya kukoboa nafaka  ya  Skimu ya Umwagiliaji ya Mombo wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kiloba cha mchele...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,(LAAC) ikitembelea kukagua mradi wa umwagiliaji wa Skimu ya Mang'ora wilayani Karatu. Baadhi ya Mashamba ya Vitunguu katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora.…

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KILIMO ARIDHISHWA NA UJENZI WA SKIMU UMWAGILIAJI YA MVUMI


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akiwa ameshika banio la kufungulia maji katika mtaro uliokamilika kwenye skimu ya umwagiliaji kijiji cha Mvumi wilaya ya Kilosa.Katibu Mkuu huyo alifanya ziara ya kushtukiza kwenye mradi huo leo Ijumaa kuona maendeleo ya maagizo aliyoyatoa Aprili 22,mwaka huu.

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akitoa maelekezo kuhusu ghala la kijiji cha Kigugu wilaya ya Mvomelo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye mradi huo.Katikati ni Eng.Amandus...

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KILIMO AWAAGIZA WAKANDARASI WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI KUMALIZA MIRADI HARAKA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya, akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na wakandarasi wa miradi ya Umwagiliaji kilichofanyika Jijini Dodoma leo tarehe 19 Mei, 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Sehemu ya wakandarasi wa miradi ya Umwagiliaji wakifatilia maelekezo ya Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya kilichofanyika Jijini Dodoma leo tarehe 19 Mei, 2020.
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bwana...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI LA SHAMBA LA UFUTA LA HAYA WILAYANI KOROGWE


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa shamba la ufuta la Kampuni ya Haya Modern Agriculture Limited lililopo Mkoamzi wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. Kushoto ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba  na wa tatu kushoto ni Mkurugenzi wa  shamba hilo, Mohamad Zioud. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye shamba la ufuta la Haya Modern Agriculture la Mkomazi wilayani Korogwe kweka jiwe la msingi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AZINDUA MRADI WA MAJI WA BOKWA WILAYANI KILINDI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua mradi wa Maji wa Bokwa wilayani Kilindi, Machi 4, 2020. Kulia ni Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na kushoto ni Mbunge wa Kilindi, Omar Kigua. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijaza maji katika ndoo wakati alipozindua mradi wa Maji wa Bokwa wilayani Kilindi, Machi  4, 2020. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, wa tatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela na kulia ni mmoja wa wanufaika wa...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Skimu za umwagiliaji kuondoa njaa Iringa

Bwawa la Mkungugu katika Tarafa ya Isimani linalotumika kwa umwagiliaji, uvuvi na shughuli nyingine za kijamii. Na Daniel Mbega, Iringa CHESCO Mlomo (46), mkazi wa Kijiji cha Mkungugu katika Tarafa ya Isimani wilayani Iringa, anaamini wimbi la njaa litapungua katika familia yake na hata za wakazi wengine wa kijiji hicho. Ukame ambao umelikumba eneo lote la Isimani kwa miaka zaidi ya 20 umesababisha mazao kushindwa kustawi vizuri hata wakati huu masika kutokana na mabadiliko ya tabia nchi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMPATIA MSAADA WA SHILINGI MILIONI TANO MIRIAM WA MOMBO

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimkabidhi  Miriam Shemndolwa  ambaye ni mlemavu msaada wa Sh. 5, 000,000 ili pamoja na michango mingine zisaidie ujenzi wa nyumba ya kuishi Miriam na Bibi yake mlezi,  Eonica Hiza  (katikati). Waziri Mkuu alimtembelea  Miriam nyumbani kwao Mombo wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Miriam Shemndolwa  ambaye ni mlemavu wakati alipomtembelea nyumbani kwao Mombo wilayani Korogwe,...

 

11 years ago

GPL

JIWE LAANGUKA NA KUZIBA BARABARA YA VUGA KUTOKA MOMBO - KOROGWE, WASAFIRI WAKWAMA

 Baadhi ya wasafiri wakitembea kwa miguu baada ya kukwama eneo la Vuga kwa takribani saa sita.  Jiwe kubwa likiwa limeanguka kutoka mlimani na kuziba barabara ya Vuga kutoka Mombo kuelekea Korogwe na Lushoto.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani