Maandamano kadha yafanywa Ukraine
Maandamano yamefanywa katika maeneo kadha ya Ukraine na yamepita salama isipokuwa katika ras ya Crimea
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Maandamano zaidi yafanywa B-Farso
Raia wamekusanyika tena katika mji mkuu wa Burkina Faso kutaka jeshi likabidhi madaraka kwa raia, siyo wajipe wenyewe
11 years ago
BBCSwahili02 Feb
Maandamano yajeruhi kadha Mombasa
Maandamano yamefanywa mjini Mombasa, Kenya, na watu kadha wajeruhiwa
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3FznjP7MMSc/default.jpg)
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Maandamano yazuka nje ya bunge- Ukraine
Afisa mmoja auawa na wengine kujeruhiwa Ukraine baada ya wabunge kuipa eneo linalothibitiwa na waasi mamlaka ya kijitawala
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mazungumzo yafanywa kufunza kichina shuleni
VIJANA wote walio shuleni wameshauriwa kuanza kuchangamkia udhamini wa kujifunza lugha ya kichina ili kuwa na uwezo wa kufanya biashara na Jamhuri ya watu wa China.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/---fB-OUjY54/U132_UN2VbI/AAAAAAAFdmQ/acVJMapqiA0/s72-c/Balozi+Kallaghe+na+BTS+-+Trevor+Francis+katikati-pic+by+R+Dilunga+2014.jpg)
SALA KWA WATANZANIA YAFANYWA WESTMINSTER ABBEY, LONDON
Na Freddy Macha
Alhamisi jioni, Wazalendo na marafiki zao walishiriki misa maalum ya kuiombea Tanzania ndani ya kanisa mashuhuri la Westminster Abbey kuadhimisha miaka 50 ya muuungano.
Misa hizi hutayarishwa kila mwaka kwa heshima ya nchi za Jumuiya ya Madola. Mgeni rasmi alikuwa Balozi wetu Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe, maofisa ubalozini na wawakilishi wa Jumuiya ya Uingereza na Tanzania (British-Tanzania Society)....
Kwaya ya Chuo cha Lancing, iliimba nyimbo za kizamani za...
Alhamisi jioni, Wazalendo na marafiki zao walishiriki misa maalum ya kuiombea Tanzania ndani ya kanisa mashuhuri la Westminster Abbey kuadhimisha miaka 50 ya muuungano.
Misa hizi hutayarishwa kila mwaka kwa heshima ya nchi za Jumuiya ya Madola. Mgeni rasmi alikuwa Balozi wetu Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe, maofisa ubalozini na wawakilishi wa Jumuiya ya Uingereza na Tanzania (British-Tanzania Society)....
Kwaya ya Chuo cha Lancing, iliimba nyimbo za kizamani za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Majaji kadha wa Misri wastaafishwa
Ripoti zasema mahakimu kadha wa MIsri walazimishwa kustaafu kwa kuunga mkono Muslim Brotherhood
11 years ago
BBCSwahili22 Feb
Nchi changa zapata makadinali kadha
Papa Francis ageuza dira kuelekea ambako Kanisa Katoliki lina nguvu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania