Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo yafanywa kufunza kichina shuleni

VIJANA wote walio shuleni wameshauriwa kuanza kuchangamkia udhamini wa kujifunza lugha ya kichina ili kuwa na uwezo wa kufanya biashara na Jamhuri ya watu wa China.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kichina kufundishwa shuleni Tanzania

Tanzania itaanza kufundisha lugha ya Kichina kama somo katika shule za sekondari hasa kidato cha tano na cha sita.

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina

Kiongozi wa Madaktari wa Kichina Dr. Liu Yaping akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi zawadi ya pambo la Ofisi wakati alipofika Ofisini kwa Balozi Vuga Mjini Zanzibar na Timu yake ya Madaktari kuaga wakirejea nyumbani kwa mapumziko ya mwezi mmoja kiusherehekea mwaka mpya wa Kichina.Pembeni kushoto ni mtapta wao Bibi Liu HualianDr. Liu Yaping kiongozi wa Madaktari wa Kichina wanaotoa huduma za Afya Hospitali za Zanzibar kati kati akiwa sambamba na Mtapta wao Bibi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano zaidi yafanywa B-Farso

Raia wamekusanyika tena katika mji mkuu wa Burkina Faso kutaka jeshi likabidhi madaraka kwa raia, siyo wajipe wenyewe

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano kadha yafanywa Ukraine

Maandamano yamefanywa katika maeneo kadha ya Ukraine na yamepita salama isipokuwa katika ras ya Crimea

 

11 years ago

Michuzi

SALA KWA WATANZANIA YAFANYWA WESTMINSTER ABBEY, LONDON

Na Freddy Macha
Alhamisi  jioni, Wazalendo na marafiki zao walishiriki misa maalum ya kuiombea Tanzania  ndani ya kanisa mashuhuri  la Westminster Abbey kuadhimisha miaka 50 ya muuungano.
Misa hizi hutayarishwa kila mwaka kwa heshima ya nchi za Jumuiya ya Madola.  Mgeni rasmi alikuwa Balozi wetu Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe, maofisa  ubalozini na wawakilishi wa Jumuiya ya Uingereza na Tanzania (British-Tanzania Society)....
Kwaya ya Chuo cha Lancing, iliimba nyimbo za kizamani za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kufunza ujasiriamali

ILI kuondoka na wimba la ukosefu wa ajiri kwa vijana, Serikali imeshauriwa kuingiza somo ya ujasiriamali katika mitaala yake katika ngazi za elimu ilitolewayo hapa nchini. Ushauri huo ulitolewa mwishoni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Helena Costa kufunza wanaume

Helena Costa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa timu ya kulipwa ya wanaume nchini Ufaransa

 

10 years ago

Dewji Blog

FACEBOOK kutumika kufunza usalama barabarani

DSC_0135

Naibu Kamishna wa Polisi  na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la  Taifa la Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (wa pili kushoto) akifurahi jambo na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa kuboresha Demokrasia na Amani (DEP) kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bi. Beatrice Stephano, Afisa Mfawidhi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kanda ya ziwa Mwanza, Bw....

 

9 years ago

BBCSwahili

Kituo chaanza kufunza kinadada ufundi

Chuo cha ufundi cha Don Bosco nchini Tanzania kilikuwa kimejikita katika kutoa mafunzo ya ufundi kwa vijana wa kiume pekee, lakini hivi karibuni kimeamua kutoa mafunzo hayo kwa kinadada.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani