Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kichina kufundishwa shuleni Tanzania

Tanzania itaanza kufundisha lugha ya Kichina kama somo katika shule za sekondari hasa kidato cha tano na cha sita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mazungumzo yafanywa kufunza kichina shuleni

VIJANA wote walio shuleni wameshauriwa kuanza kuchangamkia udhamini wa kujifunza lugha ya kichina ili kuwa na uwezo wa kufanya biashara na Jamhuri ya watu wa China.

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina

Kiongozi wa Madaktari wa Kichina Dr. Liu Yaping akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi zawadi ya pambo la Ofisi wakati alipofika Ofisini kwa Balozi Vuga Mjini Zanzibar na Timu yake ya Madaktari kuaga wakirejea nyumbani kwa mapumziko ya mwezi mmoja kiusherehekea mwaka mpya wa Kichina.Pembeni kushoto ni mtapta wao Bibi Liu HualianDr. Liu Yaping kiongozi wa Madaktari wa Kichina wanaotoa huduma za Afya Hospitali za Zanzibar kati kati akiwa sambamba na Mtapta wao Bibi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wawekezaji wa Kichina Tanzania

Wawekezaji wa Kichina nchini Tanzania wamelalamikiwa kufanya biashara za reja reja hali ambayo inadaiwa kuwanyima fursa wenyeji.

 

10 years ago

GPL

WAWEKEZAJI WA KICHINA WANAVYOCHOMA MISHIKAKI TANZANIA

UWEKEZAJI wa Wachina nchini Tanzania umelalamikiwa na wananchi kwa watu hao  kufanya biashara za rejareja kama vile kuchoma mishikaki, kuuza nguo, simu na vitu vingine mitaani, jambo ambalo linawanyima fursa  wenyeji wasio na uwezo wa biashara kubwa. Katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam si ajabu kukutana na baadhi ya Wachina wakiwa na biashara mikononi kama wafanyabishara wadogo nchini humo maarufu kama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mimba zawatoa wanafunzi shuleni Tanzania

Takriban wasichana 808 wamewacha shule katika kipindi cha miaka minane katika jimbo la Rukwa nchini Tanzania kutokana na mimba.

 

11 years ago

Habarileo

Maofisa wa Serikali kufundishwa itifaki

CHUO cha Diplomasia kitaendesha mafunzo ya itifaki na uhusiano kwa maofisa wa Serikali na sekta binafsi, lengo likiwa ni kuwaongezea uwezo maofisa hao na kuboresha utendaji wa kazi zao. Ofisa Uhusiano wa Chuo hicho, Innocent Shoo, alisema jana Dar es Salaam mafunzo hayo yanatarajiwa kuwa Machi 31 hadi Aprili 4 na ni mwendelezo wa mafunzo ya muda mfupi, yatolewayo chuoni hapo.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana kufundishwa kilimo cha kisasa

Kampuni ya kuuza zana za kilimo ya Farm Equip (Tanzania) ya Dar es Salaam, imeanzisha mpango wa kutoa mafunzo kwa vijana kutumia zana za kisasa kwenye kilimo ili kuwasaidia kupata mazao bora zaidi.

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE KUFUNDISHWA NAMNA YA KUTUMIA FURSA

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Trumark, Agness Mgongo, akiwa katika studio za Global Tv Online kwa ajili ya mahojiano. Zulekha Samwix wa Trumark akisubiri mahojiano  na Global TV. ...Wakipozi…

 

10 years ago

GPL

MAMIA YA WATU WAENDELEA KUFUNDISHWA UJASIRIMALI TANDALE!

Mwang'amba akitoa mafunzo. Mwalimu wa Dk. Didas Lunyungu akionesha moja ya kitambaa alichokitengeneza. Mwang'amba akitoa mafunzo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani