Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMIA YA WATU WAENDELEA KUFUNDISHWA UJASIRIMALI TANDALE!

Mwang'amba akitoa mafunzo. Mwalimu wa Dk. Didas Lunyungu akionesha moja ya kitambaa alichokitengeneza. Mwang'amba akitoa mafunzo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mamia ya wana Iringa waendelea kumchangia Mwanahabari Kibiki achukue fomu ya Ubunge Iringa mjini

Na Fredy Mgunda,Iringa
 WAKATI joto la uchaguzi likiendelea kupanda katika jimbo la Iringa mjini, mamia ya vijana, wanawake, walemavu  na wazee katika jimbo hilo wanaendelea kuchangishana fedha ili kumuwezesha mwanahabari Frank Kibiki kuchukua fomu ya kuomba ateuliwe kupeperusha bendera ya CCM, kwenye jimbo hilo.Zoezi hilo linaloendeshwa na baadhi ya vijana waliomtaka Kibiki ambaye ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM taifa, kutotoa rushwa badala yake atumie hoja kuelezea sera zake, walisema...

 

10 years ago

GPL

MAMIA YA WATU WAMUAGA KOMBA SONGEA

Mwili wa marehemu kapt.John Komba, wakati ukishushwa kwenye ndege katika uwanja wa ndege wa Songea mkoani Ruvuma tayari kwa kusafirishwa kijijini kwake Lituhi Wilayani Mbinga kwa mazishi. Mwili wa marehemu kapt.John komba, ukiwasili katika uwanja wa michezo wa majimaji mjini Songea tayari kwa ajili ya kuagwa na Wananchi mbalimbali mjini humo. MAMIA ya wananchi wa Manispaa ya Songea… ...

 

5 years ago

Michuzi

GEORGE FLOYD; MMAREKANI MWEUSI ALIYEKUSANYA MAMIA YA WATU KUPINGA KIFO CHAKE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

"SIWEZI KUPUMUA" ni kauli ya mwisho ya George Floyd mmarekani mweusi aliyefariki baada ya kukandamizwa shingo kwa dakika takribani nane hadi kupoteza uhai na afisa wa polisi wa Minneapolis Derek Chauvin akituhumiwa kutoa pesa bandia ya dola ishirini katika duka moja akiwa ananunua sigara.

Floyd (46) alizaliwa Kaskazini mwa Carolina na kuishi Houston na Texas akiwa mdogo na alihamia Minneapolis miaka ya nyuma baada ya kutoka gerezani kwa lengo la kutafuta kazi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Breaking News…Bomu lalipuka na kujeruhi mamia ya watu Arusha Night Park usiku huu

grenade

Habari za kuthibitika kutoka chanzo chetu kinasema  watu wasiofahamika wamerusha bomu la mkono (Granade) kwenye Bar maarufu jijini Arusha inayofahamika kwa jina la  Arusha Night Park almaarufu kama “Matako Bar” iliyopo maeneo ya Mianzini.

Chanzo chetu kinasema kuwa watu wawili wamepoteza maisha hadi sasa na wengine wengi idadi isiyofahamika wamejeruhiwa vibaya huku wengine wakiwa wamekatika mikono, miguu na kuchuruzikwa na damu.

Mkasa huo umetokea wakati umati wa watu ukiwa umekusanyika...

 

10 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS, DK. BILAL AONGOZA MAMIA KWENYE MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA DAR

Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal akiweka shada la maua katika mojawapo ya makaburi ya wanafamilia. Mojawapo ya jeneza likishushwa kaburini.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wahimizwa ujasirimali

DSC02617

Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,akitoa mada yake ya ufugaji nyuki kwa chakula, uchumi na mazingira kwenye mafunzo yaliyohudhuriwa na wawakilishi 108 wa vukundi vya wafugaji nyuki katika wilaya ya Ikungi.Liana kitaaluma ni mtaalamu wa nyuki.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

SERIKALI   Mkoani Singida, imewahimiza wananchi wa vikundi mbalombali vya ujasiriamali wanaobahatika kupata mafunzo kuyatumia kikamilifu mafunzo hayo,waweze kufanya shughuli za kwa ufanisi zaidi.

Wito huo ulitolewa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kichina kufundishwa shuleni Tanzania

Tanzania itaanza kufundisha lugha ya Kichina kama somo katika shule za sekondari hasa kidato cha tano na cha sita.

 

11 years ago

Habarileo

Maofisa wa Serikali kufundishwa itifaki

CHUO cha Diplomasia kitaendesha mafunzo ya itifaki na uhusiano kwa maofisa wa Serikali na sekta binafsi, lengo likiwa ni kuwaongezea uwezo maofisa hao na kuboresha utendaji wa kazi zao. Ofisa Uhusiano wa Chuo hicho, Innocent Shoo, alisema jana Dar es Salaam mafunzo hayo yanatarajiwa kuwa Machi 31 hadi Aprili 4 na ni mwendelezo wa mafunzo ya muda mfupi, yatolewayo chuoni hapo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani