GEORGE FLOYD; MMAREKANI MWEUSI ALIYEKUSANYA MAMIA YA WATU KUPINGA KIFO CHAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-rSUxqQotaAM/XtdEdeCG1VI/AAAAAAALsYw/OGSxRx13Ol8wy7tuSKegjq1nu-pGwXopgCLcBGAsYHQ/s72-c/27georgefloyd-articleLarge.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
"SIWEZI KUPUMUA" ni kauli ya mwisho ya George Floyd mmarekani mweusi aliyefariki baada ya kukandamizwa shingo kwa dakika takribani nane hadi kupoteza uhai na afisa wa polisi wa Minneapolis Derek Chauvin akituhumiwa kutoa pesa bandia ya dola ishirini katika duka moja akiwa ananunua sigara.
Floyd (46) alizaliwa Kaskazini mwa Carolina na kuishi Houston na Texas akiwa mdogo na alihamia Minneapolis miaka ya nyuma baada ya kutoka gerezani kwa lengo la kutafuta kazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog06 Jun
TRUMP AFICHWA KATIKA HANDAKI KUHOFIA MAANDAMANO YA KIFO CHA MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD.
![Usalama umeimarishwa katika Ikulu ya Whitehouse katika siku za hivi karibuni](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/166E1/production/_112737819_433de1ea-9b4c-4d2b-a692-13abafeae66d.jpg)
5 years ago
CCM Blog02 Jun
UCHUNGUZI BINAFSI WABAINI MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD ALIKUFA KWA KUKOSA HEWA
![Kaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha '](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F8D5/production/_112610736_ceaf1200-4de5-4da0-9918-80247dc8c379.jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
George Floyd: Je ni kipi kilichotokea dakika 30 za mwisho kabla ya kifo chake?
5 years ago
BBCSwahili27 May
George Floyd: Maafisa wanne weupe wafutwa kazi kufuatia kifo cha mtu mweusi ambaye hakujihami
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Kifo cha George Floyd: "Babangu amebadilisha dunia", ujumbe wa hisia uliotumwa na Gianna Floyd
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
George Floyd: Trump ashutumiwa kugawanya Wamarekani huku maafisa wanaouhishwa na kifo cha Floyd wakishtakiwa tena