UCHUNGUZI BINAFSI WABAINI MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD ALIKUFA KWA KUKOSA HEWA
Image captionKaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha 'George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alikufa kutokana na ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti yake.Alifariki kwa kukandamizwa kwa goti shingoni na mgongoni na maafisa wa polisi wa Minneapolis, uchunguzi wa kimatibabu uliosimamiwa na familia ya Floyd umebaini hilo.Matokeo hayo yanatofautiana na matokeo ya uchunguzi wa mwili wake uliofanywa na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Kifo cha George Floyd: Uchunguzi binafsi wabaini kuwa alikufa kwa kukosa hewa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rSUxqQotaAM/XtdEdeCG1VI/AAAAAAALsYw/OGSxRx13Ol8wy7tuSKegjq1nu-pGwXopgCLcBGAsYHQ/s72-c/27georgefloyd-articleLarge.jpg)
GEORGE FLOYD; MMAREKANI MWEUSI ALIYEKUSANYA MAMIA YA WATU KUPINGA KIFO CHAKE
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
"SIWEZI KUPUMUA" ni kauli ya mwisho ya George Floyd mmarekani mweusi aliyefariki baada ya kukandamizwa shingo kwa dakika takribani nane hadi kupoteza uhai na afisa wa polisi wa Minneapolis Derek Chauvin akituhumiwa kutoa pesa bandia ya dola ishirini katika duka moja akiwa ananunua sigara.
Floyd (46) alizaliwa Kaskazini mwa Carolina na kuishi Houston na Texas akiwa mdogo na alihamia Minneapolis miaka ya nyuma baada ya kutoka gerezani kwa lengo la kutafuta kazi...
5 years ago
CCM Blog06 Jun
TRUMP AFICHWA KATIKA HANDAKI KUHOFIA MAANDAMANO YA KIFO CHA MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD.
![Usalama umeimarishwa katika Ikulu ya Whitehouse katika siku za hivi karibuni](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/166E1/production/_112737819_433de1ea-9b4c-4d2b-a692-13abafeae66d.jpg)
5 years ago
CCM Blog28 May
VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI
![Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kazi](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F700/production/_112523236_42c0b123-452d-4535-9760-e1b80fb3f1fe.jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
5 years ago
BBCSwahili27 May
George Floyd: Maafisa wanne weupe wafutwa kazi kufuatia kifo cha mtu mweusi ambaye hakujihami
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Uchunguzi wabaini sababu za kutokoma kwa ajali za barabarani
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd