Kifo cha George Floyd: Uchunguzi binafsi wabaini kuwa alikufa kwa kukosa hewa
George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alifariki dunia kwasababu ya ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog02 Jun
UCHUNGUZI BINAFSI WABAINI MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD ALIKUFA KWA KUKOSA HEWA
![Kaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha '](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F8D5/production/_112610736_ceaf1200-4de5-4da0-9918-80247dc8c379.jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd
Wachezaji wa Liverpool walipiga goti katikati ya uwanja wa Anfield kufikisha ujumbe wa kupinga mauaji ya raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika George Floyd mjini Minneapolis.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Kifo cha George Floyd: "Babangu amebadilisha dunia", ujumbe wa hisia uliotumwa na Gianna Floyd
Gianna ni mwana wa kike wa George Floyd , mwanamume ambaye alifariki wakati alipokamatwa na maafisa wa polisi wa Minneapolis wakati afisa mmoja alipowekelea goti lake katika shiko yake kwa daikia nane.
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
George Floyd: Trump ashutumiwa kugawanya Wamarekani huku maafisa wanaouhishwa na kifo cha Floyd wakishtakiwa tena
Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amemshutumu Rais Donald Trump, kwa kuleta mgawanyiko na kutumia vibaya mamlaka yake.
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Kifo cha George Floyd : Jenerali Mark Milley aomba msamaha kwa 'kuenda' kanisani na Trump
Jenerali G Mark Milley alikuwa miongoni mwa viongozi walioenda na rais kanisani baada waandamanaji kutawanywa ili apate nafasi ya kupiga picha.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Maandamano ya amani dhidi ya kifo cha George Floyd
Mwangalie wa pembeni yako umwambie unampenda, matumaini mapya na mabadiliko ndio yanahitajika sasa.
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Kifo cha George Floyd: Wakili akiita 'mauaji yaliyopangwa'
Wakili wa familia ya George Floyd, ambaye kifo chake kiliibua maandamano ya hasira kote nchini Marekani , amemshutumu afisa wa polisi kwa "kupanga mauaji".
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Kifo cha George Floyd: Mizizi ya ubaguzi inapandikizwa tangu utotoni
Jane Elliott ni mwalimu nchini Marekani ambaye amekuwa akifundisha masomo juu ya ubaguzi kwa zaidi ya miaka 50. Amekuwa akitumia mifano rahisi kuonyesha namna watu wanavyorithi tabia ya ubaguzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania