Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maofisa wa Serikali kufundishwa itifaki

CHUO cha Diplomasia kitaendesha mafunzo ya itifaki na uhusiano kwa maofisa wa Serikali na sekta binafsi, lengo likiwa ni kuwaongezea uwezo maofisa hao na kuboresha utendaji wa kazi zao. Ofisa Uhusiano wa Chuo hicho, Innocent Shoo, alisema jana Dar es Salaam mafunzo hayo yanatarajiwa kuwa Machi 31 hadi Aprili 4 na ni mwendelezo wa mafunzo ya muda mfupi, yatolewayo chuoni hapo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatakiwa kuthamini maofisa ustawi wa jamii

BAADHI ya wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii wamesema serikali kutoitambua Idara ya Ustawi wa Jamii husababisha wataalamu wake washindwe kutekeleza majukumu yao ipasavyo katika jamii. Akizungumza kwa niaba...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kichina kufundishwa shuleni Tanzania

Tanzania itaanza kufundisha lugha ya Kichina kama somo katika shule za sekondari hasa kidato cha tano na cha sita.

 

10 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO (UB) CHATOA MAFUNZO KWA MAOFISA WA SERIKALI KUTOKA NCHI 15 KUHUSU UANDIKAJI WA MIKATABA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

 Naibu Mkamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB),  anayeshughulikia Masuala ya Fedha, Dk. Elifuraha Mtalo (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoaj na washiriki  wa mkutano kuwajengea uwezo maofisa wa serikali wa kujadili mikataba inayohusu uwekezaji pamoja na biashara, walipotembelea  Ofisi za Chuo Kikuu cha Bagamoyo zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa kuwajengea uwezo maofisa wa serikali kuhusu uandikaji wa mikataba inayohusu...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana kufundishwa kilimo cha kisasa

Kampuni ya kuuza zana za kilimo ya Farm Equip (Tanzania) ya Dar es Salaam, imeanzisha mpango wa kutoa mafunzo kwa vijana kutumia zana za kisasa kwenye kilimo ili kuwasaidia kupata mazao bora zaidi.

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE KUFUNDISHWA NAMNA YA KUTUMIA FURSA

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Trumark, Agness Mgongo, akiwa katika studio za Global Tv Online kwa ajili ya mahojiano. Zulekha Samwix wa Trumark akisubiri mahojiano  na Global TV. ...Wakipozi…

 

10 years ago

GPL

MAMIA YA WATU WAENDELEA KUFUNDISHWA UJASIRIMALI TANDALE!

Mwang'amba akitoa mafunzo. Mwalimu wa Dk. Didas Lunyungu akionesha moja ya kitambaa alichokitengeneza. Mwang'amba akitoa mafunzo.…

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL: SIDHANI KAMA WEMA NI MTU WA KUFUNDISHWA

Staa wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel. Aunt Ezekiel ambaye ni rafiki wa karibu wa Wema Sepetu, amejibu kauli ya Diamond Platinumz kuwa Wema ana marafiki wanaomfundisha tabia mbaya na kwamba kama anataka kuendelea aachane nao. Staa mkubwa wa kike Bongo, Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' wakifanya yao na Aunt Ezekiel. Akiongea na Bongo5, Aunt Ezekiel ameeleza kuwa anachofahamu… ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Umeshafikiria kufundishwa na mwalimu mwenye umri wa miaka 100?

KUNA usemi kuwa kujifunza hakuna mwisho, lakini mama huyu Agnes Zhelesnik (101) amebadili maana imekuwa kinyume chake kufundisha hakuna mwisho.

Kwa sasa anatajwa ni mwalimu mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani baada ya Januari mwaka huu kutimiza miaka 101 tangu kuzaliwa lakini bado hajaacha kufundisha uchumi wa nyumbani.

Mwalimu huyo mkongwe anayefundisha watoto wenye umri chini ya miaka 10 katika Shule ya Sundance North Plaintfield, New Jersey Marekani alizaliwa Januari 12, 1914...

 

9 years ago

Habarileo

Afrika yatakiwa kuridhia itifaki haki za binadamu

RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amewataka wabunge barani Afrika kuzishinikiza nchi zao kuridhia itifaki ya haki za binadamu iliyokubaliwa miaka 18 iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani