AUNT EZEKIEL: SIDHANI KAMA WEMA NI MTU WA KUFUNDISHWA
![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFJe6VPWRxbxSOBSjR*jclh25heaO*n8N4igR7dbk3UxljDZPf*qpr21hweHa4CCKFQ2sNABJkCUEL*Sl6LnVg5w/auntezekiel1.jpg)
Staa wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel. Aunt Ezekiel ambaye ni rafiki wa karibu wa Wema Sepetu, amejibu kauli ya Diamond Platinumz kuwa Wema ana marafiki wanaomfundisha tabia mbaya na kwamba kama anataka kuendelea aachane nao. Staa mkubwa wa kike Bongo, Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' wakifanya yao na Aunt Ezekiel. Akiongea na Bongo5, Aunt Ezekiel ameeleza kuwa anachofahamu… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies12 May
Aunt Ezekiel: Sitaki na Sina Tatizo na Mtu
Kutoka Mitandaoni: Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel ameamua kuvunya ukimya fufuatia comment mablimbali za mashabiki juu ya kile kinacho daiwa kuwa urafiki wake na staa mwenzake Wema Sepetu umeyumba.
Madai ya kuyumba kwa ufafiki baina ya mastaa hao yameibuka kwa kasi baada ya hivi juzi kati kufanyika kwa baby shower ya Aunt na Wema kutokuwepo kwenye pati hiyo, kitu ambacho mashabiki na wapenzi wa mastaa hao wamekuwa wakihoji ina wezekana vipi Wema kukosa kwenye pati hiyo.
Kifuatia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnVZ5sg4fK2f2TeK2LkMJ6GqsExjYADxg*twtG7aFwk6yM4AJM6Oc2I65c59GOejnkcAzRPGgLYT7AQGXC12oiu4/aunti.jpg)
AUNT EZEKIEL: NITAHAKIKISHA NAMPA PENZI MUME WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA1QtpBC8ItJqUn3nf6UHMxjTmYC2g9acG7vbbaMPcFkrLEf5YzrqRF-KbYRz2ZiqqFDR*2pIhxuVQCrZIMTs7jC/MAMAWEMA.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?
10 years ago
Bongo Movies13 Mar
Ommy Dimpoz:Diamond si yupo na Zari au? Sidhani kama amemind mimi kufanya kazi na Wema
Mwanamziki Ommy Dimpoz ameyasema hay oleo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM alipokuwa anautambulisha wimbo wake wa Wanjera ambao mrembo Wema Sepetu amecheza kama Wanjera kwenye video wa wimbo huo na kushiriki kupiga picha za kuutangaza wimbo huo.
Ommy alisema haoni kama kuna tatizo lolote kati yake na swahiba wake huyo licha ya Diamond kutoandika chochote kuhusiana na wimbo huo kama ambavyo amekuwa akifanya kwa wasanii wengine.
“Labda hajaposti yupo busy na simu yake, hata mimi kuna...
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Aunt Ezekiel Aongea Mazito Bifu la Kajala, Wema
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anatamani aone mastaa wawili ambao wana bifu kali, Wema Sepetu na Kajala Masanja wanamaliza tofauti zao kwani maisha ni mafupi.
Akizungumza na gazeti na gazeti la Ijumaa Wikienda, Aunt alisema kati ya mabifu ambayo angependa yaishe ni la Wema na Kajala kwani wapo wasanii wamefariki dunia wakiwa na bifu huku wale waliobaki ambao walikuwa na mabifu nao wakitamani waamke walau mara moja wamalize tofauti zao lakini haikuwezekana.
“Jamani...
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Urafiki wa Wema na Aunt Ezekiel Warejea Kwa Kishindo
Baada ya urafiki wao kuyumba kwa kipindi cha zaidi ya miezi miwili hivi iliyopita, mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wameonyesha kumaliza tofauti zao na kurudisha urafiki wao kama ilivyo kuwa awali.
Urafiki wa Wema na Aunt ulionekana kuyumba na kufikia hatua ya Wema kutohudhuria baby shower party ya Aunt ambapo Aunt alidai kumualika Wema na hata havi karibuni aunt alipojifungua mtoto Wema hakusema chochote kwenye ukurasa wake mtandaoni ukizingatia kuwa wakati wa ushosti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qPy4LKWk6kKy-4TUFC*YFiWZ--dFkT2InsnEFnnx5EXrWviPPC2IEE9nyfhSwolL70llqRZgmHrXoBUdnJH0Z6/aunty.jpg)
NJEMBA ‘AWAVUA’ NGUO WEMA, AUNT EZEKIEL
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOjgcJcGjYDq8QNwsmaBhjRzjGo6W6ftiTsQdXibFV6QuGzbDwx9qiEr3a5Uy4nVcCXIBeGBOlS6L0f9jtR-BUFx/wpidwema_sepetu712.jpg?width=650)
WEMA; HATA MIMI NINGEKUWA AUNT EZEKIEL NINGEGOMBANA NA WEWE