WEMA; HATA MIMI NINGEKUWA AUNT EZEKIEL NINGEGOMBANA NA WEWE
![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOjgcJcGjYDq8QNwsmaBhjRzjGo6W6ftiTsQdXibFV6QuGzbDwx9qiEr3a5Uy4nVcCXIBeGBOlS6L0f9jtR-BUFx/wpidwema_sepetu712.jpg?width=650)
Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. Oscar ndauka LICHA ya kupatana, habari ya mjini kwa sasa ni ugomvi mkali, wenye visa vya kushangaza kati ya mastaa wawili wa sinema za Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel.Hii ‘kapo’ siku za karibuni, ilikuwa nzuri kwa maana ya urafiki wao mkubwa.Urafiki wa Wema na Aunt ulianza pale Wema alipoutengua urafiki wake na staa mwingine wa fani hiyo, Kajala Masanja. Wema Sepetu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA1QtpBC8ItJqUn3nf6UHMxjTmYC2g9acG7vbbaMPcFkrLEf5YzrqRF-KbYRz2ZiqqFDR*2pIhxuVQCrZIMTs7jC/MAMAWEMA.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
VIJIMAMBO: Aunt Ezekiel Ajiwezi Hata Kuvaa Viatu!!
Mimba ya muigizaji Aunt Ezekiel imeanza kumtibua baada ya nyota huyo kushindwa kufanya baadhi ya kazi ambazo alikuwa akizifanya mwenyewe.
Kwa mujibu wa chanzo cha GPL, kutokana na tumbo kuwa kubwa, Aunt kwa sasa hawezi kufunga viatu vyake, kufua, kuosha vyombo na hata akitaka kwenda toileti inabidi apewe kampani na mtu.
“Mh! Jamani Aunt hata kuinama ni mtihani sasa sijui kama ni kujidekeza au nini maana anapokuwa karibu na bebi wake ndiyo usiseme ni full kudeka anasema akiinama anaumia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbInsB5bPTeKPqhD-lx8I5XDcvisLnWMVXZvcVDCVp-BSEuKBcxmGMSG0*t1E7JFVoGudwJkzBZ-5MPR4cuTi2f/HAWAGHASIA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Urafiki wa Wema na Aunt Ezekiel Warejea Kwa Kishindo
Baada ya urafiki wao kuyumba kwa kipindi cha zaidi ya miezi miwili hivi iliyopita, mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wameonyesha kumaliza tofauti zao na kurudisha urafiki wao kama ilivyo kuwa awali.
Urafiki wa Wema na Aunt ulionekana kuyumba na kufikia hatua ya Wema kutohudhuria baby shower party ya Aunt ambapo Aunt alidai kumualika Wema na hata havi karibuni aunt alipojifungua mtoto Wema hakusema chochote kwenye ukurasa wake mtandaoni ukizingatia kuwa wakati wa ushosti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFJe6VPWRxbxSOBSjR*jclh25heaO*n8N4igR7dbk3UxljDZPf*qpr21hweHa4CCKFQ2sNABJkCUEL*Sl6LnVg5w/auntezekiel1.jpg)
AUNT EZEKIEL: SIDHANI KAMA WEMA NI MTU WA KUFUNDISHWA
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Aunt Ezekiel Aongea Mazito Bifu la Kajala, Wema
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anatamani aone mastaa wawili ambao wana bifu kali, Wema Sepetu na Kajala Masanja wanamaliza tofauti zao kwani maisha ni mafupi.
Akizungumza na gazeti na gazeti la Ijumaa Wikienda, Aunt alisema kati ya mabifu ambayo angependa yaishe ni la Wema na Kajala kwani wapo wasanii wamefariki dunia wakiwa na bifu huku wale waliobaki ambao walikuwa na mabifu nao wakitamani waamke walau mara moja wamalize tofauti zao lakini haikuwezekana.
“Jamani...
10 years ago
Bongo Movies18 May
Maoni:Unamshauri Nini Aunt Ezekiel Kuhusu Ugomvi na Wema?
Kwa kuangalia historia ya Wema Sepetu na Aunt Ezekiel ni zaidi ya marafiki ambao walikuwa maswahiba walioshibana kiasi kwamba hakuna mtu anaeweza kujua kama leo watakuwa maadui. Na urafiki huu ulikomaa zaidi pale Madame Wema alipokuwa amerudiana na Diamond Platinumz kiasi kwamba hata safari za nje za Wema na Diamond na Aunt nae alikuwa anasafiri na hatukujua alikuwa anasafiri kwa gharama ya nani.
Kwa ukaribu huu wa Wema na Diamond kulimfanya Dogo wetu Moses Iyobo kupata bahati ya mtende...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qPy4LKWk6kKy-4TUFC*YFiWZ--dFkT2InsnEFnnx5EXrWviPPC2IEE9nyfhSwolL70llqRZgmHrXoBUdnJH0Z6/aunty.jpg)
NJEMBA ‘AWAVUA’ NGUO WEMA, AUNT EZEKIEL