FURSA YA MAFUNZO YA UJASIRIMALI KWA VIJANA

Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Biashara 37,000 zaanzishwa kupitia mradi wa ujasirimali kwa vijana —ILO
Mratibu wa Mpango wa Ujasiriamali na Kukuza Ajira kwa Vijana ndani ya Shirika la kazi Duniani (ILO), Bw Mkuku Luis akitoa hotuba yake wakati akifungua mafunzo ya ujarimali kwa vijana yaliofanyika katika Desemba 19, 2014 jijini Dar es Salaam.(HABARI/PICHA NA PHILEMON SOLOMON FULLSHANGWEBLOG)
Afisa Habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa kitengo cha Mawasiliano (UNIC), Bi Usia Nkhoma Ledama akielezea zaidi kuhusiana na mafuzo hayo kwa vijana
Vijana mbalimbali kutoka mkoa wa Dar es Salaam...
9 years ago
MichuziVijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
Kampuni ya Airtel Tanzania, kupitia mpango wake wa “Airtel Fursa Tunakuwezesha” imewapatia mafunzo ya ujasiriamali vijana wa manispaa ya Tanga kwa lengo la kuwawezesha kuboresha uendeshaji biashara na kukuza mitaji yao katika warsha iliyofanyika katika ukumbi...
9 years ago
Michuzi
VIJANA JIJINI MOROGORO WACHANGAMIKIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUPITIA AIRTEL FURSA
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Vijana wahimizwa ujasirimali
Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,akitoa mada yake ya ufugaji nyuki kwa chakula, uchumi na mazingira kwenye mafunzo yaliyohudhuriwa na wawakilishi 108 wa vukundi vya wafugaji nyuki katika wilaya ya Ikungi.Liana kitaaluma ni mtaalamu wa nyuki.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
SERIKALI Mkoani Singida, imewahimiza wananchi wa vikundi mbalombali vya ujasiriamali wanaobahatika kupata mafunzo kuyatumia kikamilifu mafunzo hayo,waweze kufanya shughuli za kwa ufanisi zaidi.
Wito huo ulitolewa...
11 years ago
GPL
UNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Vodacom yatoa fursa kwa ziara za mafunzo
KAMPUNI ya Vodacom imetoa fursa kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali kuifanya kuwa sehemu ya ziara za mafunzo yakiwemo ya huduma za mawasiliano ya simu, masuala ya ajira, na Teknolojia ya...
10 years ago
Vijimambo09 Jul
FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA UMOJA WA MATAIFA

What is the UN Young Professionals Programme?The Young Professionals Programme (YPP) is a recruitment initiative for talented, highly qualified professionals to start a career as an international civil servant with the United Nations Secretariat. It consists of an entrance examination and professional development programmes once successful candidates start their career with the UN.Who can apply?Any...
10 years ago
Michuzi18 Jul
Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika - Ridhiwani Kikwete
