Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biashara 37,000 zaanzishwa kupitia mradi wa ujasirimali kwa vijana —ILO

0012

Mratibu wa Mpango wa Ujasiriamali na Kukuza Ajira kwa Vijana ndani ya Shirika la kazi Duniani (ILO), Bw Mkuku Luis akitoa hotuba yake wakati akifungua mafunzo ya ujarimali kwa vijana yaliofanyika katika Desemba 19, 2014 jijini Dar es Salaam.(HABARI/PICHA NA PHILEMON SOLOMON FULLSHANGWEBLOG)

002

Afisa Habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa kitengo cha Mawasiliano (UNIC), Bi Usia Nkhoma Ledama akielezea zaidi kuhusiana na mafuzo hayo kwa vijana

003

Vijana mbalimbali kutoka mkoa wa Dar es Salaam...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ILO Tanzania yaadhimisha miaka 5 ya kuwawezesha vijana Tanzania kupitia ujasiriamali.

 Naibu waziri wa kazi na ajira, Mheshimiwa Makongoro Mahanga akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wa serikali ya Zanzibar katika mradi wa ujasiriamali, ndugu Ameir Ali Ameir, ambaye ndiye Mkurugenzi wa Ajira kutoka Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma, Zanzibar.Naibu waziri wa kazi na ajira, Mheshimiwa Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari. Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Philippe Poinsot akizungumza wakati wa kongamano.
 Mkurugenzi Mkuu wa ILO Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom Tanzania yatoa hamasa kwa vijana kuijua Teknolojia ya Habari kupitia mradi wa Code Like A Girl



Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi akizungumza  jijini Dar Es Salaam  na vijana wakati wa kufunga mafunzo ya ICT kupitia mradi maalum wa Code Like A Girl unaowezesha vijana kujua teknolojia ya habari na kuwahimiza kutumia vyema ujuzi huo ili kumudu ushindani uliopo kwenye soko la ajira.Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NBC NA ENVIROCARE KUWAKOMBOA VIJANA KUPITIA MRADI WA MAZINGIRA

Naibu Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la Envirocare, Catherine Jerome na Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Rukia Mtingwa (kulia) wakionyesha kipande cha mkaa uliotengenezwa na taka za karatasi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, wakati wakizungumzia kampeni ya kuhamasisha utunzaji mazingira katika mtaa wa ubungo kibangu na jinsi takataka zinavyoweza kuleta fursa za kiuchumi. Kampeni hiyo imefadhiliwa na benki ya NBC.Kaimu Mkuu wa Masoko...

 

9 years ago

StarTV

Watoto 9,000 wenye umri zaidi ya miaka 11 warejeshwa shule kupitia Mradi Wa Tasaf

Wanawake wa Wilaya ya Chato wameamua kubadilika baada ya kuwezeshwa na Mradi wa TASAF kwa kuwarudisha watoto 9,000 wenye zaidi ya miaka 11 katika shule sitini ambao walikuwa hawasomi  na wengine kuacha shule kutokana na umbali na kukosa uwezo wa kuwanunulia vifaa mbalimbali vya shule.

Pamoja na kuwaanzisha shule sitiri bado baadhi ya wanawake wamekuwa wakinyang’anywa fedha wanazopatiwa na waume zao na kuwafanya baadhi yao kushindwa kutimiza lengo la kuhakikisha watoto wanasoma na kupelekwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wahimizwa ujasirimali

DSC02617

Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,akitoa mada yake ya ufugaji nyuki kwa chakula, uchumi na mazingira kwenye mafunzo yaliyohudhuriwa na wawakilishi 108 wa vukundi vya wafugaji nyuki katika wilaya ya Ikungi.Liana kitaaluma ni mtaalamu wa nyuki.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

SERIKALI   Mkoani Singida, imewahimiza wananchi wa vikundi mbalombali vya ujasiriamali wanaobahatika kupata mafunzo kuyatumia kikamilifu mafunzo hayo,waweze kufanya shughuli za kwa ufanisi zaidi.

Wito huo ulitolewa...

 

11 years ago

Dewji Blog

NHC yaelezea namna ilivyosaidia vijana kupitia mradi wa ufyatuaji wa matofali na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu

unnamed

Meneja wa Mkoa wa Tabora Bw. Erasto Chilambo,  akimpa maelezo ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu Mkuu wa Mawasiliano na Huduma kwa Jamii Bi Susan Omari alipotembelea mradi huo ulioko eneo la Isikizya Wilayani Uyui jana. (Picha kwa hisani ya Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa).

unnamed (1)

Mwonekanao wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Isikizya Mkoani Tabora.

unnamed (2)

Meneja wa Mkoa wa Tabora Bw. Erasto Chilambo akiendelea kutoa maelezo ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Jipatie Tsh 2,000 hadi Tsh 40,000 kwa Video kupitia Kisakuzi.com

Kisakuzi.com ni mtandao unaoonesha video za matukio mbalimbali yanayotokea nchini. Mtandao huu, unanunua video na kumuwezesha mtazamaji kujiongezea kipato chake. Kutokana na ubora au tukio la video yako, unaweza kupata kuanzia shilingi 2,000 hadi 40,000 kwa video moja. kisakuzi-video-tanzania Tunapokea video ambazo unazimiliki wewe, umeipiga kwa kutumia simu yako au kamera yako. Nirahisi. Upatapo video kama hiyo bila kujali ufupi wake unaweza kuituma kwenda Je, wajua kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta yako...

 

11 years ago

Ykileo

ANGALIZO KWA WATEJA WANAOFANYA MIAMALA YA BIASHARA KUPITIA MITANDAO

Huduma ya kufanya miamala ya kibiashara kupitia mtandao inafanya maisha ya leo kua rahisi zaidi kulinganisha na maisha ya awali. Hii ni kuokana na uwezekano wa kufanya miamala hiyo popote pale ilimradi tu uwe unamtandao.
 Hili lakua na mtandao kwa Tanzania limeendelea kuwa rahisi hasa baada ya mitandao ya simu kutoa huduma za wavuti inayo sababisha takriban watanzania walio wengi hasa waishio mijini kuweza kupata huduma za mitandao.


Kila teknolojia inachangamoto zake. Na hii ya kufanya miamala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani