ILO Tanzania yaadhimisha miaka 5 ya kuwawezesha vijana Tanzania kupitia ujasiriamali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WvdYgqZgLmA/VUtUMbz4puI/AAAAAAAHV9c/NCeQfjT3BT4/s72-c/6.jpg)
Naibu waziri wa kazi na ajira, Mheshimiwa Makongoro Mahanga akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wa serikali ya Zanzibar katika mradi wa ujasiriamali, ndugu Ameir Ali Ameir, ambaye ndiye Mkurugenzi wa Ajira kutoka Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma, Zanzibar.
Naibu waziri wa kazi na ajira, Mheshimiwa Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari.
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Philippe Poinsot akizungumza wakati wa kongamano.
Mkurugenzi Mkuu wa ILO Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HapakVEZnU0/U24LmXL9ZAI/AAAAAAAFgpQ/-s_TkmaJ8ac/s72-c/unnamed.jpg)
Kampuni ya BG Tanzania na shirika la Africare Tanzania wazindua Mradi wa Kuwawezesha Vijana Mkoani Mtwara
![](http://2.bp.blogspot.com/-HapakVEZnU0/U24LmXL9ZAI/AAAAAAAFgpQ/-s_TkmaJ8ac/s1600/unnamed.jpg)
Kampuni ya BG kwa kushirikiana na Kampuni ya...
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Biashara 37,000 zaanzishwa kupitia mradi wa ujasirimali kwa vijana —ILO
Mratibu wa Mpango wa Ujasiriamali na Kukuza Ajira kwa Vijana ndani ya Shirika la kazi Duniani (ILO), Bw Mkuku Luis akitoa hotuba yake wakati akifungua mafunzo ya ujarimali kwa vijana yaliofanyika katika Desemba 19, 2014 jijini Dar es Salaam.(HABARI/PICHA NA PHILEMON SOLOMON FULLSHANGWEBLOG)
Afisa Habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa kitengo cha Mawasiliano (UNIC), Bi Usia Nkhoma Ledama akielezea zaidi kuhusiana na mafuzo hayo kwa vijana
Vijana mbalimbali kutoka mkoa wa Dar es Salaam...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Tanzania Bara yaadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete leo amewaongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa Tanzania Bara.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TUw2p8o3Aw8/VdL9vAcIQaI/AAAAAAAHx-k/utt1emr6pVI/s72-c/18th%2B1.jpg)
Benki ya Exim Tanzania yaadhimisha miaka 18 ya kuanzishwa kwake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TUw2p8o3Aw8/VdL9vAcIQaI/AAAAAAAHx-k/utt1emr6pVI/s640/18th%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KN_t508BOaY/VdL9t3u7gzI/AAAAAAAHx-Y/l7MTc71tEDc/s640/18th%2B2.jpg)
9 years ago
MichuziVijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
Kampuni ya Airtel Tanzania, kupitia mpango wake wa “Airtel Fursa Tunakuwezesha” imewapatia mafunzo ya ujasiriamali vijana wa manispaa ya Tanga kwa lengo la kuwawezesha kuboresha uendeshaji biashara na kukuza mitaji yao katika warsha iliyofanyika katika ukumbi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EnWk8ivIk4Y/Voq_FN70cuI/AAAAAAAIQVY/Yb1AI1o43SU/s72-c/1f8c6b07-d901-4245-94aa-8bf326fbddb9.jpg)
VIJANA JIJINI MOROGORO WACHANGAMIKIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUPITIA AIRTEL FURSA
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
11 years ago
MichuziTANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 100 TANGU KUANZA KWA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA
Akizungumza kwenye hafla hiyo, iliyofunguliwa na Mhe. Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mhe. John W. Ashe, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuhudhuriwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-d9jxliP1-zU/VUikRR6Z6mI/AAAAAAAC4BY/ozjWKu6OsxE/s72-c/ilo-logo.png)
ILO Tanzania to celebrate five (5) years of empowering youth through entrepreneurship in Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-d9jxliP1-zU/VUikRR6Z6mI/AAAAAAAC4BY/ozjWKu6OsxE/s200/ilo-logo.png)
Since its inception, the YEF has unleashed entrepreneurial potential of more than 30,000 emerging and...