Kampuni ya BG Tanzania na shirika la Africare Tanzania wazindua Mradi wa Kuwawezesha Vijana Mkoani Mtwara
![](http://2.bp.blogspot.com/-HapakVEZnU0/U24LmXL9ZAI/AAAAAAAFgpQ/-s_TkmaJ8ac/s72-c/unnamed.jpg)
Mshauri wa Masuala ya Maendeleo ya Jamii na Mahusiano; wa Kampuni ya BG Tanzania, Emil Karuranga (wa pili kushoto) na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Africare, Alfred Kalaghe (wa pili kulia) wakisaini mkataba wa makubaliano wakati wa uzinduzi wa Mradi wa mafunzo kuwawezesha vijana kiuchumi mkoani Mtwara juzi. Wanaoshuhudia (kulia) ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa huo, Johansen Bukwali na Meneja Mradi wa vijana, Dickson Mbita.
Kampuni ya BG kwa kushirikiana na Kampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WvdYgqZgLmA/VUtUMbz4puI/AAAAAAAHV9c/NCeQfjT3BT4/s72-c/6.jpg)
ILO Tanzania yaadhimisha miaka 5 ya kuwawezesha vijana Tanzania kupitia ujasiriamali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WvdYgqZgLmA/VUtUMbz4puI/AAAAAAAHV9c/NCeQfjT3BT4/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7VkxBwdbWqY/VUtUO-QMTRI/AAAAAAAHV9s/DQrEk6A8s6s/s640/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SCfl5UO9mmQ/VUtULrk0NuI/AAAAAAAHV9I/j4iGeAtt-Bg/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhkLxmk_m3Y/VUtUOZNj3rI/AAAAAAAHV9w/f_DaOrKcxoU/s640/8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s72-c/IMG_6402.jpg)
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) LAKABIDHIWA MRADI WA USIMIKAJI WA HUDUMA YA MKONGO WA TAIFA NA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s1600/IMG_6402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-69jpcFCMyl0/VNOG80KQAfI/AAAAAAAHCCg/bqVyUsveN2s/s1600/IMG_6404.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mn0-KAy7Q3w/VNOG9FDwWoI/AAAAAAAHCCo/onxYwiqfNwI/s1600/IMG_6415.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Shirika la ndege la flydubai wazindua safari zao nchini Tanzania
Makamu wa Rais mwandamizi katika shughuli za kibiashara wa shirika la ndege la FlyDubai, Bwa.Sudhir Sreedharan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali jana kwenye uwanja wa kimataifa wa Jk Nyerere Kwenye Uzinduzi wa Shirika jipya la ndege la Fly Dubai.
Shirika Jipya la Ndege la Fly Dubai Jana Wamezindua safari zao nchini kwa gharama za bei nafuu,pia ndege hiyo itakuwa ikiruka moja kwa moja pia kutokea Zanzibar kwenda Dubai
Balozi mdogo wa Tanzania nchini Dubai Mh. Omar Mjenga...
10 years ago
VijimamboSHIRIKA LA NDEGE LA FLY DUBAI WAZINDUA SAFARI ZAO NCHINI TANZANIA
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kampuni yaajiri vijana Mtwara
KAMPUNI ya Supply Base Solutions Ltd (SBS) inayokusanya taka za baharini zinazosababishwa na uchimbaji wa gesi na mafuta mkoani Mtwara, imetoa kipaumbele cha ajira kwa wakazi waishio jirani na kampuni...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yKl4rowHyKg/U5lRt1WEzeI/AAAAAAAFp7Q/v7eNHguCTWQ/s72-c/S1.jpg)
tamasha la filamu Tanzania kufanyika mkoani Mtwara Idd Pili
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa muda wa wiki moja kuanzia sikukuu ya idd Pili hadi Agosti 5 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana , Meneja Masoko wa TBL, Fimbo Butallah, alisema kuwa tamasha la mwaka huu litafanyika mkoani Mtwara kwenye viwanja vya Mashujaa na hii...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4fKeSlytuLE/VG7tG54-yKI/AAAAAAAGyoI/CbeKOUv86ys/s72-c/unnamed.jpg)
Diamond Trust Bank Tanzania yafungua tawi la 21 - Mkoani Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-4fKeSlytuLE/VG7tG54-yKI/AAAAAAAGyoI/CbeKOUv86ys/s1600/unnamed.jpg)
======== ======= =======Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Diamond Trust Bank Tanzania Limited (DTBT), Abdul Samji,...
10 years ago
Habarileo17 Nov
Wenye kampuni ajirini vijana wa Tanzania - Kigoda
SERIKALI imewataka watendaji na wamiliki wa makampuni mbalimbali ya ndani na nje nchi, kuacha tabia ya kutoa nafasi nyingi za ajira kwa wageni na badala yake wawatumie vijana wa Tanzania wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali hapa nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s72-c/_MG_4455.jpg)
JK AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UB0CWUvfB3w/VcdCU8rjRNI/AAAAAAAC9gA/QHJXiLVZqwg/s640/_MG_4500.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)