Wenye kampuni ajirini vijana wa Tanzania - Kigoda
SERIKALI imewataka watendaji na wamiliki wa makampuni mbalimbali ya ndani na nje nchi, kuacha tabia ya kutoa nafasi nyingi za ajira kwa wageni na badala yake wawatumie vijana wa Tanzania wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali hapa nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HapakVEZnU0/U24LmXL9ZAI/AAAAAAAFgpQ/-s_TkmaJ8ac/s72-c/unnamed.jpg)
Kampuni ya BG Tanzania na shirika la Africare Tanzania wazindua Mradi wa Kuwawezesha Vijana Mkoani Mtwara
![](http://2.bp.blogspot.com/-HapakVEZnU0/U24LmXL9ZAI/AAAAAAAFgpQ/-s_TkmaJ8ac/s1600/unnamed.jpg)
Kampuni ya BG kwa kushirikiana na Kampuni ya...
10 years ago
GPLKONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU KUTOKA NCHI TATU, TANZANIA, RWANDA NA SWEDEN
11 years ago
Dewji Blog12 May
Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP
Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.
Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
‘Ajirini madereva waliyosomea’
WAMILIKI wa magari na malori wametakiwa kuajiri madereva mahiri na stadi waliyosomea kazi hiyo ili kupunguza ajali zinazoendelea kutokea nchini. Rai hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Uhamasishaji Biashara na Masoko...
11 years ago
MichuziTWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Idadi ya vijana wenye Ukimwi Dar yashtua
10 years ago
BBCSwahili29 May
Vijana 85 wenye itikadi kali wajisalimisha Kenya
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Vijana wenye sifa za kuajiriwa wapo vijijini
ASILIMIA 80 ya vijana wenye sifa na uwezo wa kuajiriwa wapo vijijini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA JAMBO YAMWAGA MSAADA KITUO CHA WATOTO WENYE UALBINO BUHANGIJA
Kampuni ya vinywaji Jambo Products ya mkoani Shinyanga, imetoa misaada mbalimbali ikiwemo chakula kwenye kituo cha kulea watoto wenye ualbino cha Buhangija Jumuishi kilichopo Mjini Shinyanga .
Akizungumza wakati wa kutoa msaada huo leo Alhamis Februari 20,2020, Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Esme Salum, akiambatana na wachezaji wa timu ya Stand United ambayo wanaifadhili, amesema wameamua kutoa sehemu ya faida ambayo wanaipata kusaidia watoto hao wenye ualbino ili kuwapa faraja. Amesema...