Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana 85 wenye itikadi kali wajisalimisha Kenya

Takriban vijana 85 waliokuwa wamepokea mafunzo yenye itikadi kali wamejisalimisha kwa polisi nchini Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAISLAM WENYE ITIKADI KALI UINGEREZA WAHUKUMIWA JELA MAISHA KWA KUUA

Gemini Donnelly-Martin, 20, na mama yake Amanda (kulia) wakiongea na Adebolajo wakati Ingrid Loyau-Kennett (kushoto) akiongea na Adebowale. Pembeni kushoto ni mwili wa Lee Rigby baada ya kuuawa. Lee Rigby enzi za uhai wake akiwa na mpenzi wake Aimee West.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Makundi yenye itikadi kali yavunjwa China

Polisi wameyavunja makundi 23 yenye itikadi kali na kuwakamata zaidi ya washukiwa 200 mwezi huu katika jimbo la Magharibi la shinjiang.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vazi la Burqa ladaiwa kuwa la itikadi kali

Mwanachama mwandamizi wa chama cha kikomyunisti katika jimbo la Xinjiang amesema kuwa vazi la kufunika uso la Burqa sio la kiislamu bali ni la itikadi kali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Msikiti uliohusishwa na itikadi kali za Kiislam sasa ni kituo cha amani

Msikiti wa Masjid Musa uliopokatika mji wa pwani ya Kenya wa Mombasa, ambao wakati mmoja ulihusishwa na itikadi kali za kiislamu, umekua kituo cha maridhiano na amani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Vijana Kenya wavumbua mfumo wa CovIdent unaotarajiwa kutambua wenye virusi

Chuo kikuu Cha teknolojia cha Meru nchini Kenya kimevumbua mfumo wa kidigitali unaofahamika kama CovIdent utakaotoa alama za data binafsi kwa lengo la kurahisisha upimaji wa virusi vya corona kwa watu wengi.

 

10 years ago

Michuzi

MTU MMOJA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
 MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni Jambazi ameuawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh. 2, 100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP ameeleza kuwa tukio hilo la kumvamia mwananchi huyo huko nyumbani kwake Kijiji cha Igoji one aliyejulikana kwa jina la YARED S/O MAPATANO MSALILA limetokea mnamo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Adhabu kali kwa Mchina Kenya

Mahakama nchini Kenya imemtoza faini ya dola 230,000 raia mmoja mchina kwa kuhusika na biashara haramu ya pembe za ndovu.

 

10 years ago

Habarileo

Wenye kampuni ajirini vijana wa Tanzania - Kigoda

SERIKALI imewataka watendaji na wamiliki wa makampuni mbalimbali ya ndani na nje nchi, kuacha tabia ya kutoa nafasi nyingi za ajira kwa wageni na badala yake wawatumie vijana wa Tanzania wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali hapa nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wenye sifa za kuajiriwa wapo vijijini

ASILIMIA 80 ya vijana wenye sifa na uwezo wa kuajiriwa wapo vijijini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani