Vazi la Burqa ladaiwa kuwa la itikadi kali
Mwanachama mwandamizi wa chama cha kikomyunisti katika jimbo la Xinjiang amesema kuwa vazi la kufunika uso la Burqa sio la kiislamu bali ni la itikadi kali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vazi la Burqa lapigwa marufuku Cameroon
Maafisa wa serikali kaskazini mwa Cameroon wamepiga marufuku wanawake kuvalia vitambara vinavyofunika nyuso zao maarufu kama Burka.
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Vazi la Burqa kupigwa marufuku Senegal
Senegal inapanga kupiga marufuku uvaaji wa vazi la wanawake la Burqa kwa lengo la kuzuia mienendo ya makundi ya kijihadi
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Chad yapiga marufuku vazi la Burqa
Mamlaka ya Chad imepiga marufuku vazi la Burqa kufuatia visa vya walipuaji wa kujitolea muhanga siku ya jumatatu ambavyo vimewaua watu 23.
11 years ago
BBCSwahili26 May
Makundi yenye itikadi kali yavunjwa China
Polisi wameyavunja makundi 23 yenye itikadi kali na kuwakamata zaidi ya washukiwa 200 mwezi huu katika jimbo la Magharibi la shinjiang.
10 years ago
BBCSwahili29 May
Vijana 85 wenye itikadi kali wajisalimisha Kenya
Takriban vijana 85 waliokuwa wamepokea mafunzo yenye itikadi kali wamejisalimisha kwa polisi nchini Kenya.
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Msikiti uliohusishwa na itikadi kali za Kiislam sasa ni kituo cha amani
Msikiti wa Masjid Musa uliopokatika mji wa pwani ya Kenya wa Mombasa, ambao wakati mmoja ulihusishwa na itikadi kali za kiislamu, umekua kituo cha maridhiano na amani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3fWxNBT49xC32pOQZhpq9CIFuNll-Hn4A8NwUZJlDZsMnKoXTZ18JpKCjq7lA1EZkfd0OTn0n0e2h43VcR9wSCA117QcQtJ2/watuhumiwa3.jpg)
WAISLAM WENYE ITIKADI KALI UINGEREZA WAHUKUMIWA JELA MAISHA KWA KUUA
Gemini Donnelly-Martin, 20, na mama yake Amanda (kulia) wakiongea na Adebolajo wakati Ingrid Loyau-Kennett (kushoto) akiongea na Adebowale. Pembeni kushoto ni mwili wa Lee Rigby baada ya kuuawa. Lee Rigby enzi za uhai wake akiwa na mpenzi wake Aimee West.…
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Adhabu kali kwa kuwa na watoto 3 China
Serikali ya China imemtoza faini ya zaidi ya dola milioni moja mtengeza filamu mashuhuri nchini humo, Zhang Yimou kwa kwenda kinyume na sera ya mtoto mmoja
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania