Vazi la Burqa lapigwa marufuku Cameroon
Maafisa wa serikali kaskazini mwa Cameroon wamepiga marufuku wanawake kuvalia vitambara vinavyofunika nyuso zao maarufu kama Burka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Chad yapiga marufuku vazi la Burqa
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Vazi la Burqa kupigwa marufuku Senegal
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Vazi la Burqa ladaiwa kuwa la itikadi kali
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku TZ
10 years ago
Vijimambo24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124131150_eastafrican_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.
Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.
Kampuni ya Nation...
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Kundi la Hamas lapigwa marufuku Misri
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Basi lapigwa bomu
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kulirushia bomu basi dogo la abiria.
Tukio hilo la kutisha lilitokea jana katika Kijiji cha Kilelema, Kata ya Kilelema, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, dereva wa basi hilo namba T 570 CBE, Benedict Emmanuel, alisema basi lake lilipigwa bomu jana saa 12:15 alfajiri alipokuwa...