Kundi la Hamas lapigwa marufuku Misri
Mahakama moja ya Misri imelipiga marufuku tawi la kundi la Palestina Hamas nchini humo na kuliorodhesha kama kundi la kigaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Misri:Hamas si kundi la kigaidi
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku TZ
10 years ago
Vijimambo24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania

Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.
Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.
Kampuni ya Nation...
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vazi la Burqa lapigwa marufuku Cameroon
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mapenzi ya jinsi moja Misri marufuku
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi
11 years ago
Dewji Blog04 Sep
Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo
Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.
Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...
11 years ago
Mtanzania22 Aug
Basi lapigwa bomu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kulirushia bomu basi dogo la abiria.
Tukio hilo la kutisha lilitokea jana katika Kijiji cha Kilelema, Kata ya Kilelema, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, dereva wa basi hilo namba T 570 CBE, Benedict Emmanuel, alisema basi lake lilipigwa bomu jana saa 12:15 alfajiri alipokuwa...