The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
Gazeti la The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.
Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.
Kampuni ya Nation...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku TZ
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Kundi la Hamas lapigwa marufuku Misri
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vazi la Burqa lapigwa marufuku Cameroon
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tQhlSzqAH0E/VMMfNVKxa8I/AAAAAAAG_R8/Mii8wMEMk-w/s72-c/tea-pic.jpg)
News alert: The EastAfrican newspaper banned from circulation in Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-tQhlSzqAH0E/VMMfNVKxa8I/AAAAAAAG_R8/Mii8wMEMk-w/s1600/tea-pic.jpg)
The EastAfrican newspaper has been banned from circulation in Tanzania, 20 years after it was launched to cover the region.
According to a letter sent to The EastAfrican bureau chief in Tanzania, the decision was apparently taken because the paper “has been circulating in the country without having registration, contrary to section 6 of the Newspaper Act number 3 of 1976”.
Reacting to the ban, the management of the Nation Media Group, which owns The EastAfrican, described the move as...
10 years ago
TheCitizen03 Feb
US speaks out against ban on ‘The EastAfrican’
10 years ago
TheCitizen01 Feb
Unban ‘The EastAfrican’: call
10 years ago
TheCitizen27 Jan
EU criticises ban on ‘The EastAfrican’
10 years ago
Mwananchi27 Jan
EU yalaani kufungiwa The EastAfrican