Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania
Idara ya habari Maelezo nchini Tanzania, imepiga marufuku gazeti la Tanzania Daima kuchapishwa na kusambazwa popote nchini au nje ya nchi kufuatia uamuzi wa kusitisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa gazeti hilo la kila siku.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NuCSr6_VHwU/XvIRsclFctI/AAAAAAALvFI/ysgX1sU3-XUwNxwZSZv6PGpdqlXTZRbbQCLcBGAsYHQ/s72-c/9fb3e778-14a6-4884-9b37-79d0d2831735.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124131150_eastafrican_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.
Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.
Kampuni ya Nation...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Utambulisho wa gazeti la Tanzania Daima Kanda ya Ziwa
KAMPUNI ya Free Media imetambulisha gazeti la Tanzania Daima Kanda ya Ziwa. Hafla hiyo ilifanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Villa Park na kudhaminiwa na kampuni inayotengeneza...
5 years ago
CCM Blog16 May
ITALIA KAMA TANZANIA, YAANZA KULEGEZA MASHARTI YA USAFIRI NA MARUFUKU YA KUTOTOKA NJE
![italia](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/11707/production/_112313417_c911463f-6626-468d-8d05-9eb52127315f.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku TZ
Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa mada ya kutosajiliwa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qWVFKZEoba8/VanklYSZDFI/AAAAAAAAw9A/NhK3W2MKABs/s72-c/idd2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Kundi la Hamas lapigwa marufuku Misri
Mahakama moja ya Misri imelipiga marufuku tawi la kundi la Palestina Hamas nchini humo na kuliorodhesha kama kundi la kigaidi.
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vazi la Burqa lapigwa marufuku Cameroon
Maafisa wa serikali kaskazini mwa Cameroon wamepiga marufuku wanawake kuvalia vitambara vinavyofunika nyuso zao maarufu kama Burka.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, afanya mahojiano na gazeti la Gulf Today kuhusu kuvutia uwekezaji na kukuza utalii Tanzania.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s640/unnamed%2B(6).jpg)
Ubalozi Mdogo umejiwekea utaratibu katika mpango wake wa mwaka, kuandaa kongamano za uwekezaji tatu kwa kila mwaka.
Ni imani kuwa mpango huu utasaidia kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo Tanzania na kuvutia idadi kubwa ya watalii...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania