Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GAZETI LA TANZANIA DAIMA LAFUNGIWA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Utambulisho wa gazeti la Tanzania Daima Kanda ya Ziwa

KAMPUNI ya Free Media imetambulisha gazeti la Tanzania Daima Kanda ya Ziwa. Hafla hiyo ilifanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Villa Park na kudhaminiwa na kampuni inayotengeneza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania

Idara ya habari Maelezo nchini Tanzania, imepiga marufuku gazeti la Tanzania Daima kuchapishwa na kusambazwa popote nchini au nje ya nchi kufuatia uamuzi wa kusitisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa gazeti hilo la kila siku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania Daima yapongezwa Geita

WASOMAJI wa gazeti la Tanzania Daima mkoani hapa wameupongeza uongozi wa Free Media Ltd kwa kuliwezesha gazeti hili kufika kwa wakati tofauti na awali. Akizungumza na gazeti hili, mkazi wa...

 

10 years ago

Michuzi

nape atembelea magazeti ya Tanzania Daima na Jambo leo

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnuye akikutana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alipofika katika Ofisi za Free Media, wachapishaji wa gazeti la Tanzania Daima,  akiwa katika ziara katika vyombo vya habari ambayo aliianza jana, jijini Dar es Salaam.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnuye akiagana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alipofika katika Ofisi za Free Media, wachapishaji wa gazeti la Tanzania Daima, akiwa katika ziara katika vyombo vya habari ambayo aliianza...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA MAALUM YA IKULU KUHUSU HABARI ILIYOCHAPISHWA NA TANZANIA DAIMA


Rais hajadharau Bunge
Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Chama cha Upinzani cha CHADEMAla leo, Jumapili, Januari 4, 2015, limeandika habari kwenye ukusara wake wa mbele chini ya kichwa cha habari: ”Wabunge: Ikulu imetudhalilisha” hata kama wabunge wanaokaririwa katika habari hiyo ni wawili tu, Mheshimiwa Freeman Mbowe na Mheshimiwa David Kafulila.Habari hiyo inadai kuwa Ikulu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuteua Mwenyekiti wa Bodi...

 

11 years ago

GPL

JAMBAZI LINALOUA WATU LAFUNGIWA KAZI

Stori: Mwandishi Wetu, TARIME
LILE jambazi linaloua watu wasio na hatia Tarime, Mara lipo katika wakati mgumu kufuatia wananchi wa wilayani humo kumfungia kazi kwa kumsaka licha ya Jeshi la Polisi Tanzania, Makao Makuu kutuma askari wake kwa ajili ya kumsaka. Kwa mujibu wa chanzo chetu Tarime, wananchi wamesema wamechoka kuona mdunguaji huyo anaendelea kutamba kwa kutoa roho za watu kama ninja. “Wananchi wengi hapa Tarime...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, afanya mahojiano na gazeti la Gulf Today kuhusu kuvutia uwekezaji na kukuza utalii Tanzania.

WIki iliyopita tarehe 17-18, Ubalozi Mdogo kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, uliandaa kongamano la uwekezaji katika sekta ya utalii, kwa nia ya kuvutia wawekezaji na watalii ili kuongeza idadi kubwa ya watalii wanao kwenda kuitembelea Tanzania.
Ubalozi Mdogo umejiwekea utaratibu katika mpango wake wa mwaka, kuandaa kongamano za uwekezaji tatu kwa kila mwaka.
Ni imani kuwa mpango huu utasaidia kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo Tanzania na kuvutia idadi kubwa ya watalii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani