Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


The EastAfrican lapigwa marufuku TZ

Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa mada ya kutosajiliwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania

Gazeti la The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.

Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.

Kampuni ya Nation...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kundi la Hamas lapigwa marufuku Misri

Mahakama moja ya Misri imelipiga marufuku tawi la kundi la Palestina Hamas nchini humo na kuliorodhesha kama kundi la kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vazi la Burqa lapigwa marufuku Cameroon

Maafisa wa serikali kaskazini mwa Cameroon wamepiga marufuku wanawake kuvalia vitambara vinavyofunika nyuso zao maarufu kama Burka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania

Idara ya habari Maelezo nchini Tanzania, imepiga marufuku gazeti la Tanzania Daima kuchapishwa na kusambazwa popote nchini au nje ya nchi kufuatia uamuzi wa kusitisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa gazeti hilo la kila siku.

 

10 years ago

Mwananchi

EU yalaani kufungiwa The EastAfrican

>Siku nne baada ya gazeti  la The EastAfrican kufungiwa kwa madai halijasajiliwa nchini Tanzania, Umoja wa Ulaya (EU) umelaani kwa maelezo uamuzi huo  unaonyesha walakini uliopo katika suala la uhuru wa habari nchini.

 

10 years ago

TheCitizen

EU criticises ban on ‘The EastAfrican’

Dar es Salaam. The European Union has expressed its concern about press freedom in Tanzania after the government banned the circulation of the regional weekly The EastAfrican last week.

 

10 years ago

TheCitizen

Unban ‘The EastAfrican’: call

The East African Law Society (Eals) has pleaded with the Tanzanian government to lift the ban it imposed recently on the circulation of The EastAfrican newspaper.

 

10 years ago

TheCitizen

US speaks out against ban on ‘The EastAfrican’

>The United States has expressed its concern about the decision by the Tanzanian government to ban the circulation of the regional weekly The EastAfrican.

 

10 years ago

Mtanzania

Basi lapigwa bomu

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA EDITHA KARLO, KIGOMA

WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kulirushia bomu basi dogo la abiria.

Tukio hilo la kutisha lilitokea jana katika Kijiji cha Kilelema, Kata ya Kilelema, Wilaya ya Buhigwe mkoani    Kigoma.

Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, dereva wa basi hilo   namba   T 570 CBE, Benedict Emmanuel, alisema basi lake lilipigwa bomu jana saa 12:15 alfajiri   alipokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani