The EastAfrican lapigwa marufuku TZ
Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa mada ya kutosajiliwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124131150_eastafrican_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.
Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.
Kampuni ya Nation...
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Kundi la Hamas lapigwa marufuku Misri
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vazi la Burqa lapigwa marufuku Cameroon
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania
10 years ago
Mwananchi27 Jan
EU yalaani kufungiwa The EastAfrican
10 years ago
TheCitizen27 Jan
EU criticises ban on ‘The EastAfrican’
10 years ago
TheCitizen01 Feb
Unban ‘The EastAfrican’: call
10 years ago
TheCitizen03 Feb
US speaks out against ban on ‘The EastAfrican’
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Basi lapigwa bomu
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kulirushia bomu basi dogo la abiria.
Tukio hilo la kutisha lilitokea jana katika Kijiji cha Kilelema, Kata ya Kilelema, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, dereva wa basi hilo namba T 570 CBE, Benedict Emmanuel, alisema basi lake lilipigwa bomu jana saa 12:15 alfajiri alipokuwa...